Basi la Kilimanjaro Express

Basi la Kilimanjaro Express

LIM Safaris na IBRA Line ndio gari zangu siku hizi...! Hizo Dar Express na K'njaro hola tu saivi..!

Nilipanda LIM siku moja nilijuta.........viti ka basi la chekechea.........halafu dereva alikuwa kama ana maruhani........maana hizo mbio......
hivi RATCO hawapo route hiyo..............?........niliwapenda sana..........
 
Umenikumbusha enzi za scandinavia nilipanda toka dodoma kuja dar, kufika ubungo kushuka lock ya mkanda ikagoma katakata kufunguka walihangaika na kuhangaika haikuwezekana kubanduka kitini, wakaniomba radhi kuwa wangependa kuvunja kile kibanio lakini sheria za kampuni ni mpaka idhini ya marekebisho itoke ofisini kwao, hivyo ikanibidi kwenda nimebanwa hivyohivyo mpaka Kamata zilikokuwa ofisi zao ndiko ikatolewa idhini ya kuukata na wembe

Nilichojifunza ni kuwa baadhi ya mabasi yanakuwa na mikanda iliyo chini a viwango kiasi cha kuhatarisha usalama wa abiria na hasa inapotokea ajali ya bus kuanguka kugongana au kuwaka moto, ukaguzi ukifanywa usilenge tu uona uwepo wa mikanda bali ulenge kuona kama inafanya kazi barabara
Itabidi tuwe tunaijaribu kwanza maana ni hatari, kwa mfano hapo ingekuwa ni moto umewaka ingebidi usubiri moto uzimike, au?
 
Nilipanda LIM siku moja nilijuta.........viti ka basi la chekechea.........halafu dereva alikuwa kama ana maruhani........maana hizo mbio......
hivi RATCO hawapo route hiyo..............?........niliwapenda sana..........

RATCO ni Tanga-Dar. Sidhani kama wana routes za Dar -AR.
Karibu IBRA line mrembo. Ni very comfortable. Au weye siku hizi Ni mwendobwa FJ??
 
Ujifunze kutembea na visu vya mfukoni, ikitokea kama hiyo wala humwambii muhudumu unajihudumia mwenyewe kisha una sepa

ikitokea la kutokea tofaufi na ajali na akakutwa nacho ataonekana alikuwa na nia ovu.. kisu/silaha kwenye bus.. inawezuleta tafrani..
 
Nilipanda LIM siku moja nilijuta.........viti ka basi la chekechea.........halafu dereva alikuwa kama ana maruhani........maana hizo mbio......
hivi RATCO hawapo route hiyo..............?........niliwapenda sana..........

Hivi shabiby na Bm hawana route za dar Arusha?maana naona ndio watakua wakombozi wapya
 
Hii biashara ya mabasi ya mikoani nadhani huwa haina faida in the long run. Maana nimeshaona makampuni mengi sana huwa yanaanza kwa mbwembwe lakini baada ya miaka michache yanaanza kusua sua na mwisho kufa kabisa.
 
Hii biashara ya mabasi ya mikoani nadhani huwa haina faida in the long run. Maana nimeshaona makampuni mengi sana huwa yanaanza kwa mbwembwe lakini baada ya miaka michache yanaanza kusua sua na mwisho kufa kabisa.
Mkuu umeongea jambo la maana sana hawa jamaa hawana busness codinetors ambao kazi yao kubwa huwa n kuangalia soko la usafir na mahitaji ya wa teja wao. Mfn mdogo green * mombasa raha hata mhamedi. Wametoka barabaran na wengine wapo kwa kusuasua kwa sabab hyo ,

Isitoshe mabasi huduma huwa nzr wakizoea wanaanza kuwa na lugha chafu sana, hvyo nmhim wabadilike vinginevo hakuna basi itakayodum bila kuwa na huyo nliemtaja hapo juu.
 
Hii biashara ya mabasi ya mikoani nadhani huwa haina faida in the long run. Maana nimeshaona makampuni mengi sana huwa yanaanza kwa mbwembwe lakini baada ya miaka michache yanaanza kusua sua na mwisho kufa kabisa.
Mkuu umeongea jambo la maana sana hawa jamaa hawana busness codinetors ambao kazi yao kubwa huwa n kuangalia soko la usafir na mahitaji ya wa teja wao. Mfn mdogo green * mombasa raha hata mhamedi. Wametoka barabaran na wengine wapo kwa kusuasua kwa sabab hyo ,

Isitoshe mabasi huduma huwa nzr wakizoea wanaanza kuwa na lugha chafu sana, hvyo nmhim wabadilike vinginevo hakuna basi itakayodum bila kuwa na huyo nliemtaja hapo juu.
 
RATCO ni Tanga-Dar. Sidhani kama wana routes za Dar -AR.
Karibu IBRA line mrembo. Ni very comfortable. Au weye siku hizi Ni mwendobwa FJ??

Aaah........mi huwa napanda RATCO kwenda Tanga.......burdaaaaaaaan........
 
Hivi shabiby na Bm hawana route za dar Arusha?maana naona ndio watakua wakombozi wapya

Sijaziona..........Shabiby kwa Arusha naona ni hizi. Isamilo.......na zinakwenda Mwanza...........
 
ikitokea la kutokea tofaufi na ajali na akakutwa nacho ataonekana alikuwa na nia ovu.. kisu/silaha kwenye bus.. inawezuleta tafrani..
Nani kakuambia kuwa kisu cha mfukoni ni silaha?
 
Nani kakuambia kuwa kisu cha mfukoni ni silaha?

Kwa hiyo kwenye bus kisu unaenda kumenyea chungwa ndugu yangu??.. watu watajuaje kama wewe sio psycho..unaweza kuwa'stab abiria wenzako au hata kujidhuru..miezi kadhaa iliyopita kuna jamaa alijichinja kwenye basi la Mtwara tena yeye alihitaji kiwembe tu kujirestisha in peace...
 
Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.
mabasi ya bilionea..sawaya!
 
Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.
kwanza chakula gari inasimama highway ubora wa chakula sio kama ule wa hill crest pale kwa urio...kitu kidia moja!
 
Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.

Tatizo ni lako nauli za kuomba alifu hizo we Dar Moshi kwa buku kumi unusu wapi na wapi.
 
Back
Top Bottom