Recent content by Papaa Gx

  1. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mimi nasema mapema kabisa,hapa hamna kocha.
  2. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hamna kocha hapo, wote hao ni matakataka
  3. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mimi huwa nikiwambia hapa tuna wachezaji wenye quality ndogo sana aka MATAKATAKA. Kuna baadhi ya matakataka hapa jukuani huwa wanakataa tena wanaenda mbali na kuanza kuwatetea. Hivi huwa mnabisha nini sasa, yaani mnabishana na ukweli.!? Klabu kama Chelsea washindani wake ni hizo klabu zinazo...
  4. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Awamu ya sita imevunja record ya kufuturisha inaonekana ni Sehemu ya ilani ya CCM

    Ngoja waje wafia dini, umejiandaa?
  5. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwahiyo tumekubaliana kuwa wale ni matakataka?
  6. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwenye anajua faida ya back pass aniambie tafadhali maana tumezidi sana aisee
  7. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapa hamna timu kabisa
  8. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bado huja sema, matakataka ni mengi sana pale Chelsea. Ubaya ni kuwa huwa nikiwambia ukweli mnakataa, nyinyi wenyewe mtakubali tu.
  9. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Delap hajawahi kuwa mzuri.
  10. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka...
  11. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wazee wa come back, ngoja tuone leo
  12. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kama kocha unapaswa kuja na mbinu sasa. Sio kila muda una rudisha mpira nyuma ukitegemea bahati nasibu.
  13. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mimi huwa nikiwambia mnadhani masikhara, mmeanza wenyewe kukubali.
Back
Top Bottom