Mimi huwa nikiwambia hapa tuna wachezaji wenye quality ndogo sana aka MATAKATAKA. Kuna baadhi ya matakataka hapa jukuani huwa wanakataa tena wanaenda mbali na kuanza kuwatetea. Hivi huwa mnabisha nini sasa, yaani mnabishana na ukweli.!?
Klabu kama Chelsea washindani wake ni hizo klabu zinazo...
Huwezi kutaka matokeo ya ushindi kwa kikosi hiki, hao viungo wote hapo katikati wa kazi gani? Una fahamu fika wewe ndio unahitaji kushinda kwa namna yoyote ile alafu unaenda kujaza viungo wote ulio nao. Mbaya zaidi pembeni una muweka takataka Delap, aisee nilikuwa nacheka pindi hiyo takataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.