Recent content by Papaa Gx

  1. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Ni mchakato wa aina gani hutumika kumpata mwenyekiti wa CCM

    Hakuna cha mchakato, we jua kuwa atakae kuwa rais automatically ni mwenyekiti wao
  2. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Heche kwa BAVICHA Jijini Dodoma ni moto wa kuotea mbali. Heche angekuwa na Bei CCM wangempa hata Bil 1

    Lile jamaa lina akili mpaka unalionea huruma.
  3. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mudryk sio takataka
  4. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Wachokonozi: Polisi wanakuja kukukamata wanasema, "Tumeagizwa"; ukiuliza kosa, wanajibu, "Utajulia mbele

    Sio wana hisi, ni kweli wapo juu ya sheria, kwani uongo?
  5. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nimefurahi sana Mudryk kurudi.
  6. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Matakataka kibao sana
  7. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania 2030 Kuna watu watakimbia hii nchi. Hifadhini maneno haya

    Sioni katiba mpya ikitokea
  8. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Matakataka FC
  9. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwahiyo hatuna mpango wa kusajili kipa?
  10. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Basi kama ni kuhofia ligi nyingine hatuna budi kuendelea kusajili matakataka.
  11. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Msimu huu tuna muda mwingi sana wa kurekebisha timu. Mbaya ni uongozi bado haupo makini katika sajili.
  12. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bastoni ni beki mzuri na mwenye uzoefu, fuatilieni ligi mbali mbali msiishie epl tu.
  13. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jackson ni takataka, hapo hakuna mjadala.
  14. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelsea ni moja ya klabu kubwa katika ulimwengu wa soka. Lakini cha ajabu imekuja kupoteza huo ukubwa kutokana na matokeo pamoja na sajili zake za hovyo hovyo. Timu kama Chelsea inapaswa misimu yote iwe kwenye ushindani sio kusindikiza wengine. Ni ajabu sana tumekuwa kila msimu tunafanya sajili...
  15. Papaa Gx

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kesho panapo majaliwa nitakuja na orodha ya wachezaji tunao paswa kusajili, achana na hao matakataka. Kwa sasa usiku mwema nyote.
Back
Top Bottom