ni Idea nzuri, lakini kwenye muktadha wa Muungano wa vyma vya siasa nakuambia ukweli kua hauna haja wala maana, kama ulikua na maana kulikua na haja gani kuanzisha vyama hivi, maana kama CUF anaitikadi, CHADEMA wanaitikadi nyingine tofauti, sasa itadi kuziunganisha ni ngumu, unapoenda kugombea...