Dar Es Salaam, wilaya ya Temeke, kata ya Azimio, mtaa wa Kichangani karibu na msikiti mkubwa wa ijumaa, hapo ndiyo home wakuu kama kuna member yeyote anaishi maeneo hayo basi si vibaya tukifahamiana!
Ni nderemo na vifijo kwa wachezaji na mashabiki wa timu ya taifa la Ivory Coast baada ya kufanikiwa kuibwaga timu ya taifa la Ghana kwa mikwaju ya penati 9-8, ni usiku huu ambao unamfanya golikipa wa Ghana kuibuka shujaa, amepangua penati na amefunga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.