Recent content by Panthera Simba

  1. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Hata mwaka juzi hawakuweka na whether utaandika jina la taasisi au la haijalishi. Cha muhimu andika Cover letter yako kwa usahihi tu.
  2. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Aliwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango sasa anapata ugumu kushika mimba. Anawezaje kupona tatizo hili? Nitafute mtoto kwingine?

    Kwa kawaida mwanamke akiacha kutumia sindano ile nguvu yake inakaa mwilini hadi miezi 18-24(yaani miaka miwili) ko kuwa tu mpole atakaa sawa na pia mzingatie lishe ya huyo mkeo mana kuna mda lishe nayo ni muhimu "we are what we eat" NB: dada zangu uzazi wampango ni hatari sana kama hujawahi...
  3. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hata kwa herufi ndogo haina shida
  4. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    "You cant choose a neighbor but u can choose neighborhood "
  5. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester Vs Mazda CX5

    fav compact SUV, ya 2017 hyo[emoji91]
  6. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Safari_Clothmyride: Msaada anayejua gharama zao

    kampuni ni ya mtu mmoja iko under name ya SAFARI, huyo dada ni manager tu wa hyo segment ya restoration na kufufua magari upande wa mechanics na panel beating, kiufupi jamaa kaajiri madem tupu kwenye kampuni yake hasa upande wa management za segments na branches.
  7. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ubao unasoma 2 jota kambani[emoji460]️
  8. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    katika watu nilikua naenda nao bega kwa bega kimya kimya asee ni wewe bwana mfwende, ulikua unatoa hamasa kwa sisi jobless tusikate tamaa hatimae umetuaga sasa ni mtumishi, nikupe pongezi sana bruv kawe mtumishi mwema alama yako kwenye uzi itadumu. bless up
  9. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    F839062 mechi za mchana mpaka sa 11 jioni
  10. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Walioitwa usaili TRA Septemba 2023

    panda kidala cha bunju shukia kituo kinaitwa Jumbe apo uliza boda wanakuelekeza au kukupeleka
  11. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    na APC, Mbweni ndo unapatikana wapi tafadhali mwenye kujua
  12. Panthera Simba

    JamiiForums Tanzania Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    dah, kuna maisha ukisoma ni kama hadithi ila kwa wengine ni maisha halisi. Kama hiyo ya kusingiziwa mwizi ni moja ya experience mbaya sana maishani omba sana isikutokee, binafsi ilinikuta sitakaa niisahau na wala si mbali juzi tu hapa miezi kadhaa nyuma. Mkuu umenipa moyo sana kutokata tamaa...
  13. Panthera Simba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    kisirani kwenye kadamnasi ni uduanzi sana, ishu yenywe ilishapita kitamboa altakiwa awe mpole. Kuna namna jamaa ana kutojiamini kama mwanaume hasa akikosea
  14. Panthera Simba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    sikuwahi jua kunae wanaume wana silka kama ya huyu jamaa[emoji2365] anatia aibu maneno shazi kama manzi daah wanaume tunapungua sana[emoji1487] mkuu jimmygatete temana nae aendelee kuimba
Back
Top Bottom