Asante kiongozi..sijajua kama ndiyo hao hao Safari upholstery ila kwenye page yao naona wanafanya issue za kupimp magari (rangi,interior restoration,issue za lights etc)..Hao ndio sawa na Safari Upholstery? Kama unataka ndani gari iwekwe ngozi nenda kwa Safari au Azam. Wengine bado sana.
Sema jiandae hela nyingi. Mfano unataka ufanye kwenye gari gani?
Reference: BMW 2002 E46 seat, roof, steering wheel, milango, na buti, Safari walisema 3.5m.
Ungejaribu siku kwenda waifanyie evaluation. Ni kazi ya siku 3 hadi week unaacha gari kwao.Asante kiongozi..sijajua kama ndiyo hao hao Safari upholstery ila kwenye page yao naona wanafanya issue za kupimp magari (rangi,interior restoration,issue za lights etc)..
Gari ni lexus (inayofanana na tako la nyani)
Ooh Kuna baadhi ya mikoa wana branch hao Safari. Mfano Dodoma, Mwz, Mbeya na Aru.Shukurani kaka..nimeuliza maana nipo mkoani
Ni watu wawili tofauti hao huyu Safari Clothmyride ni Mdada tho bei zao sizijui ila huyo dada na team yake wamenyooka sana naona zile TDI zinavyofufuliwa sio kitoto.
Huyu Safari upholstery ni jamaa fulani yeye naona ka base na Interior sana sana.
Na ni vyombo wadada alowaweka kibiashara hii jamaa kajua kucheza na wa TZ😀😀😀kampuni ni ya mtu mmoja iko under name ya SAFARI, huyo dada ni manager tu wa hyo segment ya restoration na kufufua magari upande wa mechanics na panel beating, kiufupi jamaa kaajiri madem tupu kwenye kampuni yake hasa upande wa management za segments na branches.