Ukibofya ok ukiona list ya channel za azam kabla hazijatoka unabofya volume up kama unaongeza sauti utaona zinatokea hapo, ukitaka kusikiliza redio unabofya tena vol up. Sorry for late reply
Hawa Azam hawana nidham kabisa majirani wamekusanyika kwangu kuangalia game wao hawaoneshi very very bad with all adverts shame on you and your management you need to walk you'r talk
hakuna ndege iliyopata ajali mbeya sema ilichelewa kwa muda wa saa moja tukaondoka saa 12 jion, hawa jamaa tatizo lao ni tamaa ya pesa wana ndege chache route nyingi sana so ikisumbua moja tu ni sheedaaa nchi nzima
Nashukuru Ph-25 nimepata channels kama 13 hiv na redio 5 ila zile za Rodrigez zinasoma zote mbili sema hazioneshi picha na freq yake inasoma integrity 70 & quality 40. nimezi add kwenye satellite ya west, 7 degree au ni add satellite nyingine ya east.
msaada waungwana nimejaribu kutumia option ya kwanza imegoma na hii ya pili baada ya ku add satelite niki search inaonesha zimekamata ila nikija kwenye list ya kawaida sizioni ila redio zipo
msaada jamani nikiingiza hizi freq kwenye eutselat ya azam tv sipati kitu ila ni add satellite name na kuweka baada ya kusearch inaniambia kuna channels imekamata lakini nikirudi kwenye list sioni kitu sijui tatizo ni nn na sijajua ile satellite name inawekwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.