Recent content by Panga Makalikuwili

  1. Panga Makalikuwili

    Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Kurithi uongozi !!! Huu ni kati ya ubovu uliomo ndani ya katiba.Kiongozi aliyekuwepo madarakani amechaguliwa na wananchi kivipi ikitokea bahati mbaya akifa arithiwe na makamu wake? Kwani nchi ni mali ya ukoo wa rais na makamu .
  2. Panga Makalikuwili

    Jamani hii ni almasi au vipi?

    Mbona kama kondom hujaikunjua
  3. Panga Makalikuwili

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Mwenyezi Mungu amrehemu, Angetufariji Angefanya tujiamini sana hata kwenye hatari Angetuaminisha kuwa Mungu anatupenda sana sisi kuliko wengine (hili ni jambo jema sana) Angezitajirisha nafsi zetu kwa kutuwekea wazi utajiri tulionao nchini Pia angetutangazia faida kubwa imepatikana tangu...
  4. Panga Makalikuwili

    Tulioathiriwa na corona kwa namna moja au nyingine tukutane hapa

    Habari wana jamii Namshukuru sana Mungu mpaka sasa sijaugua corona ingawa wataalamu wanasema unaweza kuwa nayo bila kutambua kutokana na uimala wa kinga yako. Hata hivyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, corona imenigalagaza na kunichapa kimaisha vibaya sana. Mimi ni miongoni mwa...
  5. Panga Makalikuwili

    Kituo cha Mwendokasi Karume kinajengwa juu ya makaburi

    Mkuu ,kituo kinajengwa kati ya barabara moja na nyingine, kwenye tuta linalotenganisha barabara ya kwenda na ile ya kuludi.Sehemu hii tulizani hakuna makaburi cha kushangaza kila tukichimba tunatoa masalia ya watu. Yaani hata yanapopita magari sasa hivi, chini kuna makaburi hayajaondolewa.
  6. Panga Makalikuwili

    Kituo cha Mwendokasi Karume kinajengwa juu ya makaburi

    Ni mifupa ya zamani sana, ikitolewa inapukutika
  7. Panga Makalikuwili

    Kituo cha Mwendokasi Karume kinajengwa juu ya makaburi

    Eneo lile lilikuwa na makaburi kabla ya kupitisha Barabara pale. Magari yanapita juu makaburi. Kwa kipande kidogo tulichochimba kwa ajili ya kujenga kituo tumekuta makaburi mengi tu. Mifupa na mafuvu tumeacha mlemle chini na ujenzi unaendelea.
  8. Panga Makalikuwili

    Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

    Tafuta usiri wa kuwamaliza waende zao
  9. Panga Makalikuwili

    Nahisi naonekana kama mwizi

    Au unavaaga mishati mikubwa, wanadhani umeficha silaha
Back
Top Bottom