Kurithi uongozi !!! Huu ni kati ya ubovu uliomo ndani ya katiba.Kiongozi aliyekuwepo madarakani amechaguliwa na wananchi kivipi ikitokea bahati mbaya akifa arithiwe na makamu wake? Kwani nchi ni mali ya ukoo wa rais na makamu .
Mwenyezi Mungu amrehemu,
Angetufariji
Angefanya tujiamini sana hata kwenye hatari
Angetuaminisha kuwa Mungu anatupenda sana sisi kuliko wengine (hili ni jambo jema sana)
Angezitajirisha nafsi zetu kwa kutuwekea wazi utajiri tulionao nchini
Pia angetutangazia faida kubwa imepatikana tangu...
Habari wana jamii
Namshukuru sana Mungu mpaka sasa sijaugua corona ingawa wataalamu wanasema unaweza kuwa nayo bila kutambua kutokana na uimala wa kinga yako.
Hata hivyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, corona imenigalagaza na kunichapa kimaisha vibaya sana.
Mimi ni miongoni mwa...
Mkuu ,kituo kinajengwa kati ya barabara moja na nyingine, kwenye tuta linalotenganisha barabara ya kwenda na ile ya kuludi.Sehemu hii tulizani hakuna makaburi cha kushangaza kila tukichimba tunatoa masalia ya watu. Yaani hata yanapopita magari sasa hivi, chini kuna makaburi hayajaondolewa.
Eneo lile lilikuwa na makaburi kabla ya kupitisha Barabara pale. Magari yanapita juu makaburi. Kwa kipande kidogo tulichochimba kwa ajili ya kujenga kituo tumekuta makaburi mengi tu. Mifupa na mafuvu tumeacha mlemle chini na ujenzi unaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.