Recent content by Panga Makalikuwili

  1. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Zanzibar Yapitisha Bajeti ya Shilingi Trilioni 8.52,Yapunguza Utegemezi wa misaada ya Mabeberu Hadi asilimia 2.8% tu.

    Bara kinyonge sana...ila mtoto anadekezwa sana atatusumbua akikuwa huyu
  2. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Nawaunga mkono wazanzibar kuwafurusha watanganyika kutoka Zanzibar

    Maumivu huleta tiba .. kuna dawa itapatikana tu ni suala la muda
  3. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Mama Samia ni mgombea mpya kabisa wa CCM 2025 - 2030

    Kurithi uongozi !!! Huu ni kati ya ubovu uliomo ndani ya katiba.Kiongozi aliyekuwepo madarakani amechaguliwa na wananchi kivipi ikitokea bahati mbaya akifa arithiwe na makamu wake? Kwani nchi ni mali ya ukoo wa rais na makamu .
  4. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Mungu anaongea na kutenda mapema kwa njia ya sadaka kuliko maombi makavu

    Hii ni hongo,Mungu mpaka umhonge.
  5. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Jamani hii ni almasi au vipi?

    Hee
  6. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Jamani hii ni almasi au vipi?

    Mbona kama kondom hujaikunjua
  7. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Mwenyezi Mungu amrehemu, Angetufariji Angefanya tujiamini sana hata kwenye hatari Angetuaminisha kuwa Mungu anatupenda sana sisi kuliko wengine (hili ni jambo jema sana) Angezitajirisha nafsi zetu kwa kutuwekea wazi utajiri tulionao nchini Pia angetutangazia faida kubwa imepatikana tangu...
  8. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Tulioathiriwa na corona kwa namna moja au nyingine tukutane hapa

    Habari wana jamii Namshukuru sana Mungu mpaka sasa sijaugua corona ingawa wataalamu wanasema unaweza kuwa nayo bila kutambua kutokana na uimala wa kinga yako. Hata hivyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, corona imenigalagaza na kunichapa kimaisha vibaya sana. Mimi ni miongoni mwa...
  9. Panga Makalikuwili

    JamiiForums Tanzania Kituo cha Mwendokasi Karume kinajengwa juu ya makaburi

    Mkuu ,kituo kinajengwa kati ya barabara moja na nyingine, kwenye tuta linalotenganisha barabara ya kwenda na ile ya kuludi.Sehemu hii tulizani hakuna makaburi cha kushangaza kila tukichimba tunatoa masalia ya watu. Yaani hata yanapopita magari sasa hivi, chini kuna makaburi hayajaondolewa.
Back
Top Bottom