Recent content by PANDIT92

  1. P

    Camera ya cannon type ipi iko vizuri kwa picha?

    mkuu salama,,,naomba namba yako nikutafute tuzungumze
  2. P

    Soko la zao la muhogo

    Mkuu,nielekeze hawa jamaa nawapata wap?
  3. P

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    kiongozi connection ya agents/wachina wanaonunua mihogo.nina ekar 4
  4. P

    Dereva wa Uber anatafuta kazi

    hivi kaka rav 4 inafaa kua UBA,,,,
  5. P

    Kwa yeyote anaeweza kufanya kazi yeyote wakati wa free time aje inbox

    miamiatz, details gani unatakiwa kutuma,,Mimi ni ACCOUNTANT
  6. P

    Msaada wa aliyewahi kufanya written interview ya Relationship Officer

    we jamaa huioni hii thread inasema nini,,,paper ya access
  7. P

    Msaada wa aliyewahi kufanya written interview ya Relationship Officer

    tuliofanya paper hivi majibu yameshatoka?
  8. P

    Fundi nyumba anahitajika

    fundi nyumba anahitajika kwa kazi.kazi iko maeneo ya Temeke mpigie boss 0717371685
  9. P

    Interview nafasi ya Tutorial Assistant

    Habarini, mwenye uzoefu wa interview za Tutorial Assistant Accounting and Finance huwa wanauliza maswali ya namna gani? Msaada tafadhali.
  10. P

    Nafasi za Kazi kwa waliosoma business and finance

    izi nafasi zishapata watu
  11. P

    Maombi ya kazi

    Habarini za asubuhi. Nina ndugu yangu amesomea masuala ya uhasibu na ana Diploma ya Accountancy anaomba kazi ya Cashier au uhasibu. Please tumsaidie
  12. P

    Kijana wa kukaanga vitu anahitajika

    Habari, anahitajika kijana mjuzi wa kukaanga vitu kama kuku, samaki, pweza na vitu vinginezo maeneo ya Tabata Maji Chumvi. Awe mwenyeji na mkazi wa Dar es Salaam maeneo ya Tabata au Ubungo External. Asanteni. Kwa maelezo zaidi piga namba 0754 524 486.
  13. P

    Interview

    SAWA KAKA
  14. P

    Interview

    faza faza maswali huwa hayajirudii ila katika kada hii kuna pia watu wa banking so kujua format si kujua maswali mkuu
Back
Top Bottom