The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,867
- 82,505
Pole mkuu
Pole mkuu
Mkuu kiongozi tupe mrejesho sasaHabari zenu wana jamvi, jamani naombeni kusaidiwa maswali yanayotoka kwenye mtihani wa written interview katika kada ya Relationship Officer tafadhali.
Nawakaribisha wanajamii wenzangu tupeane uzoefu hapa kwenye hii thread karibuni sana.
Mkuu km alivyosema 👆👆👆Hapo Access wanakupima katika uwelewa wa kawaida tu,
Angalau uwe una fahamu wa hesabu za O-LEVEL,
All the best
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu MMOJA vp kuhusu interview za banks km NMB na CRDBHapo Access wanakupima katika uwelewa wa kawaida tu,
Angalau uwe una fahamu wa hesabu za O-LEVEL,
All the best
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa huioni hii thread inasema nini,,,paper ya accessPaper gn
Yah naskia mmetoa je utaratibu unakuaje kwa waliopita written
interview za acess bank ziko 3 kuna written, group na oral maybe kama watakuwa wamechangeYah naskia mmetoa je utaratibu unakuaje kwa waliopita written