Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Canon 1300d kwa 550,00 ni reasonable price?
Recomended price ni Around 800,000, ni bei nzuri mkuu. Angalia tu upande wako uchakavu wake.Canon 1300d kwa 550,00 ni reasonable price?
ahsante mkuu, hapo kwenye uchakavu ndo ishu maana inabidi mtu anitumie na mimi s4na uzoefuRecomended price ni Around 800,000, ni bei nzuri mkuu. Angalia tu upande wako uchakavu wake.
Kwa price hiyo ni brand new??Recomended price ni Around 800,000, ni bei nzuri mkuu. Angalia tu upande wako uchakavu wake.
Ndio kwa mpya nje naona hapa around hio laki 8.ahsante mkuu, hapo kwenye uchakavu ndo ishu maana inabidi mtu anitumie na mimi s4na uzoefu
Kwa price hiyo ni brand new??
Na si inashoot video fresh turkey,pia lens take ni 50mm.
ok,turkey nilimaanisha tu. Hiki ki 4g cha voda tafrani tu. Kwenye kubadili lens unamaansha ubora wa video hutegemea lens piaNdio kwa mpya nje naona hapa around hio laki 8.
Mkuu hii inachukua video ila uwezo wake ni average, mwisho ni 1080p kwa 30fps, haina hata uwezo wa 60fps.
Lens Dslr si unabadili tu?
Turkey sijaelewa hapo mkuu
Ndio video ni kama picha, kutegemea na kazi lens tofaut zinaweza tumika.ok,turkey nilimaanisha tu. Hiki ki 4g cha voda tafrani tu. Kwenye kubadili lens unamaansha ubora wa video hutegemea lens pia
lens yake ni 50-18mm inaweza kuwa poa?Ndio video ni kama picha, kutegemea na kazi lens tofaut zinaweza tumika.
Mi mwenyewe sio mtaalamu sana ila hio size naona ndio standard inayotumika, video za kawaida kama interview. Kwa kuanzia sio mbaya.lens yake ni 50-18mm inaweza kuwa poa?
sawa mkuu, kuna mobile printer za kusafshha picha,zle unazoweza kuchaji ,una ufahamu nazo?Mi mwenyewe sio mtaalamu sana ila hio size naona ndio standard inayotumika, video za kawaida kama interview. Kwa kuanzia sio mbaya.
Hapana sizifahamu, una model yake tuiangalie?sawa mkuu, kuna mobile printer za kusafshha picha,zle unazoweza kuchaji ,una ufahamu nazo?
canon selphy1000 jamaa kanambia 250kHapana sizifahamu, una model yake tuiangalie?
Bei sio mbaya mkuu na pia online reviews zake zipo vizuri. Sema wanairate kama home printer hivyo sijajua kama inaweza kuhimili mikiki mikiki ya kuprint picha nyingi kwa siku.canon selphy1000 jamaa kanambia 250k
Ahsante mkuu,nimesoma review zake,picha zinaprint ukubwa wa 4'*6 nadhani ndo standardBei sio mbaya mkuu na pia online reviews zake zipo vizuri. Sema wanairate kama home printer hivyo sijajua kama inaweza kuhimili mikiki mikiki ya kuprint picha nyingi kwa siku.
Pia fanyia utafiti gharama ya wino na makaratasi yake.
Yap kwa picha za nyumbani ama passport size inatosha kabisa.Ahsante mkuu,nimesoma review zake,picha zinaprint ukubwa wa 4'*6 nadhani ndo standard
Ndo lengo langu Hilo.Yap kwa picha za nyumbani ama passport size inatosha kabisa.
Chief ,kwa laki sita napata camera?budget muhimu, utashauriwa camera kumbe inauzwa milioni 10, wewe budget yako range ni ngapi?
pia kama hujui kabisa atleast kariri hili neno DSLR, fanya unavyofanya camera unayonunua hakikisha ni DSLR.
Mkuu inaonekana ni printer economy isiyo na gharama inayotumia wino wa chupa, inaprint page nyingi kwa wino kidogo na gharama ya wino pia sio kubwa atleast huko nje sijajua kwa hapa.Chief ,kwa laki sita napata camera?
Na je printer ya Epson L382 in a print picha nzuri?
Unapata Nikon n3100 au n3200Chief ,kwa laki sita napata camera?
Na je printer ya Epson L382 in a print picha nzuri?
mkuu salama,,,naomba namba yako nikutafute tuzungumzeKama upo serious na hiyo kazi, una customers base njoo inbox nitakukabidhi vifaa vya kisasa ikiwemo canon new model ( 5D mark 3)..njoo na wazo tufanye kazi..sharti ni moja tu uje na idea ya namna gani tutapata pesa na idea iwe realistic