nipo makere kigoma mkuuUpo wap
Uko wapi
Sasa umelimaje bila kutafiti soko ?
Mwisho wa siku utashindia uji wa muhogo
Una tani 50 na haujui soko? Muhogo unapatikana mkoa wa kigoma wilaya za kasulu- makere, kakonko na kibondo soko kubwa la ukanda huu ni Rwanda na Burundi, muhogo unaopatikana mkoa wa geita na kias tabora huu unasoki lake Uganda, na muhogo wa Mtwara hua unategemea soko la Uganda na Rwanda hasa kama mavuno sehemu tajwa yalikua machache, muhogo wa mkoa wa kagera hasa muleba mwingi hupelekwa kwa ajili ya chakula visiwani huko anzia lushonga, mulumo, igabiro na visiwa vingine, haya eleza uko wapi nimwage data zaidi
Mwagika na mahindi pia kiongoziUna tani 50 na haujui soko? Muhogo unapatikana mkoa wa kigoma wilaya za kasulu- makere, kakonko na kibondo soko kubwa la ukanda huu ni Rwanda na Burundi, muhogo unaopatikana mkoa wa geita na kias tabora huu unasoki lake Uganda, na muhogo wa Mtwara hua unategemea soko la Uganda na Rwanda hasa kama mavuno sehemu tajwa yalikua machache, muhogo wa mkoa wa kagera hasa muleba mwingi hupelekwa kwa ajili ya chakula visiwani huko anzia lushonga, mulumo, igabiro na visiwa vingine, haya eleza uko wapi nimwage data zaidi
Mchina ananunua mkavu tu uliochakatwa bei haifai kabisa ila wako dar bei 280 kwa kilo 1 huo wako utapungua sana zaidi ya nusu haitakulip