Nakupongeza sana Afande kwa uthubutu wako, nakuhakikishia wewe ndio mbunge wa moro, hiyo ukipitishwa tu ujue umepata. Siasa ya sasa ni kujenga hoja kwa vijana sio pesa.
CCM wanachanganyikiwa kwa kupitia wewe mkoa wote utakuwa chadema usiwaogope kashfa.
Mbona unatoka povu jingi kuwaaminisha watu kuwa lipumba ni mgombea anaefaa, na huku ukimponda slaa. tupe matokeo ya chaguzi zilizo pita ili nikubaliane na ww. sio vizuri kufanya unayoyafanya damu a watanzania inyoangamia kwa kukosa huduma za afya na ziwejuu yako
Naomba sana ubadilishe hilo wazo elewa hivi chama ndicho kina sera, mtu ana maono binafsi hivyo hawezi kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii kubwa. kwa kifupi nitapigia kuRA CHAMA si mtu mwambie jirani yako achague CHAMA
Kwa ufupi kura ya maoni ni mtaji mzuri kwa UKAWA mpinzani usipinge coz:-
1. Kundi kubwa linaikataa hiyo katiba pendekezwa hivyo linasubiri wahamasishaji wa kuikataa ambao ni ukawa hivyo political awareness ya wapiga kura itakuwa kwao.
2. Makovu ya uchaguzi wa uchaguzi wa s/mitaa yatasaidia...
kama ingekuwa aliyehaidi na hakutimiza basi viongozi wa CCM wasingekuepo leo. kwa ufupi nikukumbushe mbunge kazi yake kuomba bajeti ndogo iliyopo iweze kufika eneo lake. mnyika amefanya hivyo na ccm walizuia hoja yake binafsi bungeni wakisema tatizo la maji liko mbioni kuisha kwani kuna mradi...
Kafulila kawakamata pazuri, mnajihoji nakujibu wenyewe. huo ndio ujinga wa fikra kila unapobanwa unatafuta pa kulalamikia kama unamajibu kwa kafulila yalete. wala rushwa wakubwa nyie.
kama unaweza kajaribu kugombea udiwani kupitia ccm, ndio ujue magumu yaliyopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.