Hana jipya kw sasa..kaachia nyimbo5,fire,eneka,zilipendwa,nakukumbuka na marry u..ndani ya miezi2...kapaniki kw nyimbo hizi mmmh...mwaka jana km mwaka huu..hanusi tunzo ya kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilipendwa nyimbo mbaya...sion mapovu yanatoka wapi..matonya angenyamaza maana hata haina ishu iyo zilipendwa ya wcb..
Sent using Jamii Forums mobile app
sidhani km uko sawsawa na sitegemei km umefika ata form four na kufaulu...maana huelewi wanachoongelea..mikataba ya ajira ya seeikalini inasema kila mweziwa saba tarehe moja ya kila mwaka mfanyakazi wa serikali anaongezewa asilia kumi10% ya mshahara wake....toka uyu mzee aingie kila siku anaketa...
PAMOJA TUTASHINDA..mm ni muumini wa kushirikiana hua naamini katika umoja ndio maana mm ni pia ni fans wa Simba sports club ambao wana slogan ya SIMBA NGUVU MOJA..kwaiyo nilijipa jina ilo ku-express imani yng juu ya kufanya mambo kw pamoja..pia jina ili lilichagizwa na kipindi cha kampeni ya...
Ukinunua dekoda ambayo ni mzur..mm nilinunua laki na ishirini unaona chaneli zote za local na dini..ukimpata mtaalam anakusetia frequecy adi za startimz unaziona free..za azm cjajalibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.