Muhimu ni kujua hi yu o ndoto ikitimia inaenda kuwafanya imara pamoja au kiwatenganisha. Aidha, ni muhimu kuzungumza pamoja namna bora ya kutimiza ndoto husika. Mwisho never forget nafasi yako kama mke = kumtii mume
Nimefanya maombi ya kusajili kampuni kwa njia ya mtandao Online Registration System BRELA. Baada ya kupendekeza jina for name reservation, nilipata mrejesho kwa njia ya email kuwa jina limeshatumika, nikatuma lingine pia likawa limeshatumika.
Mara ya Tatu nilipewa mrejesho kuwa, maombi yangu...
Wakuu naomba Ushauri. Nilinunua eneo mwaka Jana mwanzoni linalofikia nusu heka, square mita 1200 ! Mwaka huu mchoro wa mipango miji umetoka Mwezi February na katika mchoro huo eneo langu barabara imepita katikati ,kipande cha kulia kimeingizwa katika eneo la shule ya msingi na eneo la kushoto...
Wakuu naomba mnisaidie namna ya kupata gharama halisi za kodi pindi ninapoagiza gari kutoka nje ya nchi. Pia je, tz unaweza kuingiza gari yenye miaka mingapi? Natanguliza shukrani
Niliwahi fanya interview mbili utumishi, majuzi wameniita kazini.
Simfahamu mtu pale sikuwa na imani nao japo vigezo nilikuwa navyo. Baada ya kuitwa kazini, nimeamini utumishi ni fair employer. Mnaotafuta kazi kikubwa jiandaeni vizuri na interview ,pray to God InshAllah zamu yenu iko karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.