Ni kweli kabisa dada.ile ilikua mistake kubwa kubwa sana. Nawaza hizo pesa ningetoa hata msaada kwa watoto yatima au ndugu zangu wenye shida. Najuta najuta sana
Sikujua laiti ningejua, najuta.
Wakuu nilikutana na huyu binti miaka kadhaa iliyopita mimi nikiwa nimepangiwa kazi mkoa fulani katika mihangaiko yangu nikakutana na huyu binti nilitokea kumpenda, mzuri kisura na kitabia very innocent niliamini kwake nimefika baada ya kash kash nilizopitia...
Yaani mi wangu yuko nje ila hadi nadata muda mwingine yeye muda wote kazi.... saa nyingine nakasirika... saa nyingine naona sawa...najizoelea huwa ananielezea maisha ya huko ila acha tu
halafu time difference ndio hatari nikiwa free yeye masaa ya kulala.. akiwa free niko kibaruani.
Wanavyokua wanatiana sijui huwa wanadhani nini mwishoni hutokea.
Shout out to all single mothers out there ambao despite ya wanaume kukimbia majukum wameweza na wanaendelea kutunza watoto wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.