Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Bahati mbaya Nimechelewa kujua
Bahati mbaya Nimechelewa kujua
Hapo chakufanya nikuchukua pesa zako ndio muhimu ila nakushauri pesa zako mwenyewe zinaweza zikakutengenezea kaburi nadhani azifiki millioni sita achana nazo.Mimi nilipitia katika mapito kama hayo napesa yangu 50milioni nikasamehe kwasababu ilitaka kuniua nikamuachia MUNGU MKUU kimbia malipo hapa hapa duniani
mwanamke hasomeshwi boss kama kesi umeshaipeleka mahakamani cha msingi fuatilia mpaka haki yako uipate ili liwe funzo kwake na familia yake na ikitokea anajirudi tena ujue kashindwa kukulipa huyo hapo chuki itawale ILA PIGA MOYO KONDE SAHEME ENDELEA NA MAISHA YAKO
Kaa nao mbali watakudhuru hao Mimi nilipata tatizo kama lakoNikimbilie wapi mkuu kuachana na hii kesi ama?na wewe ilikutokea kama iliyotokea kwangu.
Mi wakianzaga tu hizo habari, ni sound kwa mwendokasi.tulishalizungumziaga hilimchumba hasomeshwi,unamsomeshaje girlfriend wakati ana baba na mama yake.........
Ni kweli kabisa dada.ile ilikua mistake kubwa kubwa sana. Nawaza hizo pesa ningetoa hata msaada kwa watoto yatima au ndugu zangu wenye shida. Najuta najuta sana
Kumpa mimba au kumzalisha is not a solution, jamaa yangu aliachwa asubuhi saa kumi na mbili....!!MCHUMBA HASOMESHWI... MCHUMBA HASOMESHWI... MCHUMBA HASOMESHWI.
Wanawake wana akili Kama za kuku, hata ungemkuta akiwa analala chumba kimoja cha mbavu za mbwa na kaka zake watano, ukamwonea huruma, ukampenda na kumtoa kwa kumpeleka shule, likijitokeza jamaa linajua kuimbisha anasahau mema yako yote. Kama unaamua kusomesha aende akiwa na mimba kabisa au akiwa ameshazaa.