Generation hii Ni wapumbavu na wajinga ukilinganisha na Generations za nyuma,especially ktk uzalendo!tumeuzwa!!na wapo wanaotetea uuzwaji wao!ridiculous
North Korea,China ,Cuba wote Wana sera za ujamaa wamefanikiwa..suala ni Katiba yetu,ujamaa hauruhusu mafisadi waishi uraiani,wanakiwa watangulie kuzimu
Hivi mtu keshasema Ruto alipanga kumpindua ,kumbuka ni Raisi anataarifa nyingi Sana, utataka suluhu na mtu huyo?JK na Lowasa haziivi mpaka Leo ingawa walikua marafiki,siasa haziitaji unachotaka wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.