Nimeshafanya registration lakin nikilog in inasema invalid user. Nahapo nimetumia password ile ile sijakosea pia na email ipo sawa, naombeni msaada wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada mim njmeshamaliza kujirejista lakin niki log in inasema invalid user ..wakat nimetumia password na email ni ile ile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo VP wadau..naomba ushauri ni sehem gani nzur hapa Arusha nawezapata matofali imara za block zakujengea nyumba yakuishi ..msaada tafadhari..ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew mkuu acha story zakwenye kahawa aisee.. Maumbile yakike kuwa makubwa siokwasababu yakutoa mimba..au kutembea nawanaume tofaut..acha kudanganya wasomi mkuu
Naomba kama kuna mtu anafaham hii kampuni ya BIMA inaitwa BRITAM..
Je!nikampuni ambayo sio longo longo wakuu..nataka nifungue bima ya gar..msaada wakuu
Mim nimeagiza gari aina ya harrier old model 2001..nataka niweke bima ya gari ..je shirika lipi la bima ambalo halina longo longo wakuu..natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.