Ungefafanua umepotea katika ramani ipi. Kama ulimaanisha reggae kwa ujumla basi hauko sahihi, kwani reggae is still very strong. Kama ulimaanisha reggae ya Tanzania basi naweza kubaliana na wewe kuwa reggae ya Tanzania imerudi nyuma sana, lakini sio kupotea kwenye ramani. Reggae si mziki wa...
Nadhani umesema kulikuwa na msimamizi aliyeteuliwa. Baada ya kumteua msimamizi wa mirathi mlitakiwa kwenda mahakamani kumthibitisha na mgawanyo wa mali ufanyike. Baada ya mgawanyo wa mali, taarifa ya mgawanyo ilitakiwa irudishwe mahakamani. Baada ya hapo kila kilichogawiwa kingeendelea kuwa...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinafanya uangalizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchi nzima na wanakuletea taarifa hizo kwa wakati sahihi. Fuatilia hapa facebook page maalum inaitwa #Taarifa Za Uchaguzi.
Tanzania hapa https://m.facebook.com/chaguzitanzania?refid=17&_ft_&__tn__=C
Makusudically (kama punavyojiita),
Labda umeandika mada yako bila kuelewa jinsi mfumo wa sheria Tanzania unavyofanya kazi.
Hizo tuhuma unazozisema ni tuhuma za mauaji. Makosa ya mauaji ni makosa ya jinai, aliye na mamlaka ya kufanya uchunguzi ni Jeshi la Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa...
Hatuna imani na uchunguzi kuhusu Sheikh Ponda - Mtandao wa Haki za Binadamu
12/08/2013
0 Comments
Taarifa ya BBC Swahili - Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania umesema hauna imani na tume iliyoundwa na jeshi la polisi nchini humo kwa ajili ya kuchunguza tukio la kupigwa risasi...
"Kesi ya LHRC/TLS dhidi ya Waziri Mkuu, imepangiwa Majaji watatu: Jaji Kiongozi Fakhi Jundu, Jaji Augustine Mwarija na Jaji Dr. Fauz Twaibu. Tunasubiri kupata tarehe za kesi kuanza kusikilizwa"
Mbona watu kibao tu wameshaitwa. Mimi binafsi nimeitwa mara tatu kwenye usaili bila kuwa na uhusiano na mtu yeyote wala kujuana..
Wewe umefanya utafiti gani kusupport hayo unayosema?
....LATEST NEW: 10 kati ya watuhumiwa 15 walishikwa tena na polisi na taratibu za kuwaandikia upya mashitaka zinafanyika.I'm amazed that Tanzania media up to this time haven't reported on this news....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.