Uongozi ni ujasiri wa kufanya maamuzi magumu na sometimes hata kuingia kwenye hatari ya kupoteza cheo ulichonacho. Hongera sana mkuu umeliweka vizuri sana. Ila aungwe mkono hata kwa hilo dogo alilonalo. Kumbukumbu/Historia itambeba kwamba aliwahi kusema. Anaongoza muhimili muhimu sana kwenye...
Haujaongelea vizuri uzoefu wako upoje na hadi sasa wateja wako wanapata asilimia ngapi kama ROI (Return on Investment). Ukiweka nyama nyingi zaidi hadi wengine wenye facility inayoweza kufaa tunaweza kuvutiwa. Mfano mimi nina potential facility Makongo CCM
Umeshawahi kumiliki nyumba ya kupangisha? Nina mashaka na hilo. Ukiwajua vizuri watanzania wasivyolipa kodi lazima na wewe ungebadilika na kudai kodi ya miezi kadhaa mapema. Labda kama unataka kudaiana madeni na wapangaji walioondoka na madeni tena bila hata kutoa taarifa
Umejitahidi kumuelezea mtoa mada, ila wewe pia umeingiza jambo usilolifahamu. Wokovu ni nini? Paulo anaongelea imani kwa Yesu Kristu na sio wokovu. Mnaingiza maneno mapya na kuharibu maana kabisa ya mafundisho ya Mt. Paulo. Matakatifu Paulo anasema ni lazima kumtegemea Kristu ndipo matendo mema...
Acid reflux inasababisha kikohozi pia. Sasa sidhani kama cough syrup inatibu kikohozi kinachosababishwa na acid reflux. Hapo mwone Daktari akupatie maelekezo ya namna ya kutibu hiyo reflux. Ni kawaida usiku reflux kuwa kali zaidi ukilala. Kikohozi chake huwa kinatulia ukiamka au kukaa wima kitandani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.