Unadhani kufanya kazi ni akili tu? Inabidi uwe na moyo wa kuipenda kazi na kuwapenda watu wanaokusaidia hizo kazi unazofanya pamoja na wateja wako kuwathamini sana. Nadhani nimemjibia kiasi 😀
Pole sana mkuu, ila hao wenzio hasa wa big four walikuwa na kazi za kuwaweka busy sana hizo changamoto za STDs walizipataje kwa ubize wao wa kazi? Ila nawe ubadilishe lifestyle ili uwe na amani, simaanishi kuwa upo kama wao ila naona una mawazo sana yanayoashiria kuna kitu hakipo sawa maishani...
Mkuu naomba kujua huko mkoani kwenu mnatumia chakula gani kupata protein kwa wingi? Ni soya, alizeti au dagaa?
Kama mnaandaa wenyewe chakula basi ulipaswa kuweka stock kubwa ya mahindi kipindi yalipokuwa na bei rahisi
Sawa umejibu vizuri sana juu ya chimbuko la ibada za jumapili na umuhimu wa siku ya jumamosi kwa wakristo wengine. Tena inaonyesha wewe ni mkristo msomi unayependa kuijua sana imani yako ndio maana unawajua hadi mababa wa kanisa kama uliyemtaja hapo.
Nakurudisha kwenye eneo moja bado ambalo...
Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza.
Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.