Recent content by Paddy

  1. Paddy

    Natafuta hawa 'Grass cutter' hapa Tanzania

    Kware ni ndege wa porini na watu wanawafuga. Kama umeona fursa kawakamate porini uanze kuwafuga pia. Mitaani itakuwa ngumu kuwapata
  2. Paddy

    Natafuta hawa 'Grass cutter' hapa Tanzania

    Hao ni ndezi, sio panya buku
  3. Paddy

    Natafuta hawa 'Grass cutter' hapa Tanzania

    Hawa kwa kiswahili wanaitwa Ndezi. Google itakueleza zaidi, utapata hadi scientific names zake.
  4. Paddy

    Msaada: Natafuta kazi ya kufanya. Ni mwepesi kujifunza kazi yoyote

    Unadhani kufanya kazi ni akili tu? Inabidi uwe na moyo wa kuipenda kazi na kuwapenda watu wanaokusaidia hizo kazi unazofanya pamoja na wateja wako kuwathamini sana. Nadhani nimemjibia kiasi 😀
  5. Paddy

    Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Una mpango wa kufugia Dar? Tafuta wafugaji wenzio utakuwa umerahisisha sana kazi. Mimi mwenyewe nimeanza hiyo project, niko hatua ya kujenga banda
  6. Paddy

    Pump Gani naweza kufunga kumwaga maji mita 600 hadi 1000 kutika chanzo cha maji?

    Kampuni ya Davis and Shirtliff wana pump zina kasi ya ajabu sana. Jaribu kuwatembelea, hao ndio wataalamu wa pump za maji
  7. Paddy

    Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

    Pole sana mkuu, ila hao wenzio hasa wa big four walikuwa na kazi za kuwaweka busy sana hizo changamoto za STDs walizipataje kwa ubize wao wa kazi? Ila nawe ubadilishe lifestyle ili uwe na amani, simaanishi kuwa upo kama wao ila naona una mawazo sana yanayoashiria kuna kitu hakipo sawa maishani...
  8. Paddy

    MSAADA: Mchanganuo wa gharama za chakula kwa vifaranga 1000 vya kuku wa mayai mpaka kufikia kutaga

    Mkuu naomba kujua huko mkoani kwenu mnatumia chakula gani kupata protein kwa wingi? Ni soya, alizeti au dagaa? Kama mnaandaa wenyewe chakula basi ulipaswa kuweka stock kubwa ya mahindi kipindi yalipokuwa na bei rahisi
  9. Paddy

    Naomba msaada kulielewa jambo hili

    Sawa umejibu vizuri sana juu ya chimbuko la ibada za jumapili na umuhimu wa siku ya jumamosi kwa wakristo wengine. Tena inaonyesha wewe ni mkristo msomi unayependa kuijua sana imani yako ndio maana unawajua hadi mababa wa kanisa kama uliyemtaja hapo. Nakurudisha kwenye eneo moja bado ambalo...
  10. Paddy

    Naomba msaada kulielewa jambo hili

    Ok, jibu basi hoja ya msingi basi. Usihame kwenye mada. Lengo langu ni hilo tu kukurudisha kwenye mada mkuu. I'm sorry kwa kukukwaza.
  11. Paddy

    Naomba msaada kulielewa jambo hili

    Haujajibu hoja na wala hauna uelekeo wa kujibu hoja zaidi ya kutaka kupromote usabato tu. Rudi kwenye hoja kuu za mada
  12. Paddy

    Naomba msaada kulielewa jambo hili

    Nikuongezee ugumu wa maswali unayojiuliza. Idadi ya siku katika wiki na urefu wa siku unategemea upo wapi. Ukiwa sayari nyingine, mfano Mars, wiki haina siku saba au masaa 24 kwa siku moja kama hapa duniani. Swali la ziada kwako, wakati Mungu anaumba mbingu na nchi alikuwa amesimama duniani...
  13. Paddy

    Kamata kamata tinted taa za Magari

    Taa zinakuwa safi na zinaangaza zaidi ya zikiwa na uchafu... Polisi wa Tanzania akishaamua ameamua na uamuzi wake ni sheria.
Back
Top Bottom