Recent content by Paddy

  1. Paddy

    Jaji Mkuu: Mahakama zisiendeshwe kwa Maelekezo

    Uongozi ni ujasiri wa kufanya maamuzi magumu na sometimes hata kuingia kwenye hatari ya kupoteza cheo ulichonacho. Hongera sana mkuu umeliweka vizuri sana. Ila aungwe mkono hata kwa hilo dogo alilonalo. Kumbukumbu/Historia itambeba kwamba aliwahi kusema. Anaongoza muhimili muhimu sana kwenye...
  2. Paddy

    Wajuvi njooni mnijuze, "Mungu aliumba dhambi lini?"

    Mkuu upo vizuri, hongera kwa uchambuzi mzuri.
  3. Paddy

    Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Haujaongelea vizuri uzoefu wako upoje na hadi sasa wateja wako wanapata asilimia ngapi kama ROI (Return on Investment). Ukiweka nyama nyingi zaidi hadi wengine wenye facility inayoweza kufaa tunaweza kuvutiwa. Mfano mimi nina potential facility Makongo CCM
  4. Paddy

    App ya kupima ardhi

    https://play.google.com/store/apps/details?id=lt.noframe.fieldsareameasure
  5. Paddy

    Ujumbe wa Leo: Wizi wa kura ni Chukizo kwa Mungu by Padre Kitima

    Kuiba kura ni dhambi kubwa sana, inashangaza sana Wakristu wanaoshiriki matendo hayo, hasa hasa Wakatoliki wanaoshiriki dhambi hiyo. Inashangaza sana!
  6. Paddy

    Wenye nyumba mnataka mtumalize sasa. Hela ya Tahadhari Mwezi Mmoja ndio nini sasai?

    Umeshawahi kumiliki nyumba ya kupangisha? Nina mashaka na hilo. Ukiwajua vizuri watanzania wasivyolipa kodi lazima na wewe ungebadilika na kudai kodi ya miezi kadhaa mapema. Labda kama unataka kudaiana madeni na wapangaji walioondoka na madeni tena bila hata kutoa taarifa
  7. Paddy

    Uokovu wa Matendo(Yesu) VS. Ukovu wa Imani(Paulo)

    Umejitahidi kumuelezea mtoa mada, ila wewe pia umeingiza jambo usilolifahamu. Wokovu ni nini? Paulo anaongelea imani kwa Yesu Kristu na sio wokovu. Mnaingiza maneno mapya na kuharibu maana kabisa ya mafundisho ya Mt. Paulo. Matakatifu Paulo anasema ni lazima kumtegemea Kristu ndipo matendo mema...
  8. Paddy

    Kupata Mali Sio Dhambi .

    https://youtu.be/dVMgEIEwZbU?si=MQ2-zv6HcvnGP088
  9. Paddy

    Nakupa codes kuhusu Raba hii kali ya Air Max

    Mkuu nimechelewa kukufahamu, binti ameshaenda shuleni. Utanitafutia size 43 ya kike December akirudi
  10. Paddy

    Nakupa codes kuhusu Raba hii kali ya Air Max

    Za kike zipo?
  11. Paddy

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya kuchagua kati ya hizi

    Hivyo hivyo ulivyopanga ndio ipo sawa. Ukienda kinyume chake unakuwa umekosea.
  12. Paddy

    Kiwanda cha Kagera Sugar kipo Kagera sehemu gani?

    Kipo wilaya ya Misenyi, unapokaribia mjini kuna njia kubwa inakunja mkono wa kushoto kuelekea kiwandani kilipo.
  13. Paddy

    Mwalimu Nyerere na Tatizo la Udini na Ukabila

    Mkuu kwani kuna tatizo umeliona sehemu? Mbona tunaishi kwa amani kabisa? Tuelezee kidogo labda kuna sehemu umetuacha njiani
  14. Paddy

    Kuhisi kama Kitu kimekwama kooni

    Acid reflux inasababisha kikohozi pia. Sasa sidhani kama cough syrup inatibu kikohozi kinachosababishwa na acid reflux. Hapo mwone Daktari akupatie maelekezo ya namna ya kutibu hiyo reflux. Ni kawaida usiku reflux kuwa kali zaidi ukilala. Kikohozi chake huwa kinatulia ukiamka au kukaa wima kitandani
Back
Top Bottom