Yaani hii nchi sijui watoto wa masikini wataenda wapi?........kila sehemu ni utapeli.....yaani TAMISEMI walichofanya hapo ni dhahiri bila rushwa hizi ajira huwezi pata.....wamewapa wahitimu miaka ya uongo hapo karibia 90%(nini maana ya hicho walichofanya)
Wahitmu wengi hapo wamemaliza miaka ya...
Watu kama hawa sijui wanatoka wapi??
Mtu hakuna kitu unajua juu ya kitu fulani na unakaza mpaka makalio kukikandia chuo ambacho hata hukijui..
Inasikitisha sana.
kila mwaka napokea wanafunzi kutoka hivi vyuo vya afya nchini tanzania na nje ya nchi kwa taasisi fulani hapa nchini
Huwa naona uwezo wa wanafunzi hawa vizuri sana lakini huwa sioni utofauti kabisa unaozushwa kuwa wanafunzi wa muhas wanakuwa bora zaidi kuliko vyuo vingine(ni uongo mkubwa kabisa).
kati ya hizo mbili.......kidogo clinical medicine(kidogo....narudia)
ila ningekuwa mimi hapo nisingesoma hata moja ila ningechagua kati ya machaguo yafuatayo
1. Radiology
2.phythiotherapy
3.Dental
4.Optometry(kichas)
5.Nursing
Ikikufaa.....zingatia........ASANTE
watanzania ni washirikina kihasilia.......mkuu watoto wangefeli bado mngepiga kelele tu.
Yaani jitu linakosa kabisa usingizi eti kwanini hakuna ziro za form six......kweliii?????
Ngoja nikuambie kitu mkuu....kufelisha wanafunzi au kutunga mitihani migumu si kipimo cha elimu bora.
Acheni...
1.MD
2.Nursing and midwifely
3.Bsc in physiotherapy
Akasome hizo hapo juu ila ahakikishe anaomba vyuo vya private tu ili asipoteze mwaka mzima akiwa nyumbani(Maana wadogo mnafaulu sana siku hizi mpaka raha).
Achana na kozi kama medical laboratory na pharmacy kwanza(najua nini nimeandika).
Asante.
huwa nakasirika sana kuona mwanamke analialia mpaka kufika hatua ya kutaka kutoa ujauzito kisa mwanaume amesema hatasupport.
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana halafu unakuta linalolalamika lina mikono na miguu .........zaa mtoto wako mtunze na MUNGU atamkuza.
kila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.
Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.
Mambo ya huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.