Recent content by p.masters

  1. P

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Miaka 9 leo rais wa nchi anaogopa kutaja jina? Haaaahaaaaaa
  2. P

    Chupa Ya Maji Ya Kunywa Yenye Picha Ya Mgombea?

    haaaahaaa ndugu umesahau msemo ( kufa kufaana?)
  3. P

    Kauli ya Jana Morogoro naomba ufafanuzi

    mgongano wa mawazo hii inatokana na kukurupuka na kupewa kazi usioiweza pombe hajawahi kusimama jukwaani kumwaga sera ndio maana anajikuta badala ya kusema wapinzan anawasema wana sism wenzake
  4. P

    Ilibuma filamu ya kuedit ya Lwakatare. Sasa mnaedit ya Lowasaa

    duuuuuuu shidahhhh kafilisika kisera sasa kahamia kwenye udini mwisho ukanda na ukabila.......m
  5. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    poa poa asante sana kwa ufafanuzi wako kaka.
  6. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    kaka polisi nitapewa kitu gani cha kwenda nacho TRA kufanyia marekebisho kadi yangu?
  7. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    duu jamaa ameniuzia kama spea hakuna kadi hapo mtihani wake sijui utakuaje
  8. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    nimenunua body used kwaajili ya gari yangu imepata ajali nahitaji kujua jinsi ya kubadilisha maelezo ya kwenye kadi yangu yaendane na hili body jingine toyota kikorola flani old model.
  9. P

    Dr. Slaa awapiga bao CHADEMA, walitarajia achukue fomu ili akatwe kama Lowassa kule CCM

    haaahaaaa du mbavu sina mie heee chama cha mbowe na familia yake hakuna wa kupinga maamuzi
  10. P

    Picha: Devis Mosha atumia Helkopta kura za Maoni

    hawa ukawa bwana moshi wamegeuza jimbo la familia duu kweli uchagga mwingi
  11. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nahitaji noah iwe namba c/au d.iwe haijapiga kazi za biashara.
  12. P

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    nahitaji kujua garama ya kununua gari aina ya NOAH kutoka japan hadi tanzania mpaka lifikie matumizi sh. ngqpi MCHANGANUO TAFADHALI..
  13. P

    Wema Sepetu abwagwa kwenye kura za maoni ubunge wa viti maalum Singida

    na mimi abwagwe maana hakuna namna nyingine
Back
Top Bottom