anajisumbua tu moshi watu wanataka mabadiliko na wameyaona kwa ndesa na ndesa amemwachia jaffari ni mtu mchapakazi leo hii utaona mji wa moshi unamaendeleo jaffari kama meya amefanya mengi yeye ajisumbue tu ccm huu ndio mwisho wao
hawa ukawa bwana moshi wamegeuza jimbo la familia duu kweli uchagga mwingi