Recent content by Ozzie

  1. Ozzie

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Fadhili Nkurlu na kumteua Anamringi Macha

    Huyu si ameoa mtoto wa yule KM wa Zamani wa Utumishi?
  2. Ozzie

    Tomahawk Mist Duster TMD14 zinauzwa

    Bei: Milioni 3.8 Zinafaa kwenye korosho au fumigation majumbani. Description The Tomahawk Backpack Mist Blower is perfect for applying pesticides in small orchards and vineyards or for pest and parasite control in greenhouses, and ranches. The TMD14 improves plant protection and chemical...
  3. Ozzie

    Baraza Jipya: Huu Uundwaji wa Baraza Dogo, Je Rais Magufuli Hajakiuka Sheria, Taratibu na Kanuni?

    Kwani Mwinyi sio Mzanzibari? Hajapata cream. Viongozi wazuri mpaka uwasake kwa tochi. Naamini kati ya nafasi zilizobaki baadhi watateuliwa, na yamkini wizara moja atashika mwenyewe.
  4. Ozzie

    Dr. Tulia Akson - Mjumbe wa bodi ya bandari iliyovunjwa kwa ufisadi

    Mkuu kwani shida ni nini? Naona una majina ya bodi.
  5. Ozzie

    Dr. Tulia Akson - Mjumbe wa bodi ya bandari iliyovunjwa kwa ufisadi

    Yaani kwa sababu TPA au TRA wana UCHAFU, basi kila mtu mwenye link na bandari atakuwa mchafu? Si sahihi.
  6. Ozzie

    Pata Original XiaoMi (Mi) Power Banks kwa bei nafuu

    Xiaomi (au Mi) power banks, ni kati ya power banks tatu bora zaidi duniani. Jipatie ORIGINAL Mi power banks (Kila moja ina security code iliyofichwa ya kuhakiki kama original, kupitia mtandao wao wa Xiaomi). Zinapatikana Dar es Salaam, mkoani utagharamia usafiri mwenyewe. Bei:5200mAh ni...
  7. Ozzie

    Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

    Mkuu umeni mention kwa quote ipi?
  8. Ozzie

    Baadhi ya wanawake wanatapeliwa na Manabii

    Mkuu kwanini usianzishe huduma ya kinabii halafu nasi tujifunze. Maana wengi wanasema huko pesa za bure; lakini wao hawaanzishi ingawa shughuli zao za sasa haziwapi pesa za bure.
  9. Ozzie

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    Mkuu naomba unipe uhusiano wa GDP na vehicle import duty. Maana mimi siwezi nikaelewa.
  10. Ozzie

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    GDP ina uhusiano gani na ushuru?
  11. Ozzie

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    Mkuu usiamini kila caption ya picha. Ni kawaida sana mtu kusafirisha gari, hasahasa toka Ulaya kwa kujaza na vifaa vyake kwenye container. Container husaidia sana kukwepa kuibiwa vitu. Lakini kuweka gari kwenye container haimaanishi halitoonwa, labda muamue kutoliona tu, ambapo kutoliona si...
  12. Ozzie

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    Wakuu inawezekana tunalipa ushuru mkubwa sana, na hivyo serikali inapaswa itusikilize. Lakini pia jaribu kulinganisha ushuru walipao wenzetu Kenya kwa kutumia calculator ya Tanzania, na Kenya. Inaonesha Kenya wanalipia maradufu. Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools KRA Motor Vehicle...
  13. Ozzie

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    Kwani ukipitisha Mombasa hutalipia ushuru?
Back
Top Bottom