Ukiacha mlango wazi au hta taa ikiwa inawaka kwa muda mrefu battery huwa inanyonywa,kuhusu hilo swala la vioo kutopanda au kushuka mara nying inatokea ukibadlisha/kuweka battery gari hupoteza kumbukumbu ndio maana unaweza kuona hta saa itabadlika majira..
Kusolve swala la vioo kutopanda,fanya...
Habari wakuu,
Nahitaji kufahamu hili suala la kuweka tinted kioo cha mbele naona siku hizi imekuwa kama fashion hapa Dar.
Swali langu mnapambana vipi na hawa jamaa wanaovaa nguo nyeupe barabaran? Je, kuna Sheria yoyote inayokulinda kama dereva?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.