Hiyo siku wakitoka hata watu wachache tu lengo linafikiwa kwa sababu zifuatazo
1.askari watatakiwa walimde vituo vya kura na kila kata iko na Askari kata mmoja na atatakiwa awepo kwenye kata yake kusimamia kituo kikubwa,na kila kijiji kinatakiwa kuna na Askari pia ila vitongoji mgambo wapo.sasa...
Hili ni andiko lako katika maandiko mengi unayoandika kupinga maandamano kwakujifanya hutetei watu wasiojitetea.
Hebu niambie ni nani ameonewa na hakujitetea ?
Ukiona mtu anatoka front jua ameonewa yeye na kundi la watu wa aina yake.kutoka front ni courage na vile mtu ameumbwa .
Ndio maana wewe...
Tukiwanyima mahindi na sisi si tutakosa pesa.mie napata riziki yangu et niache kuwauzia kisa genz wa Kenya wanatusema vibaya?ebu waza upya mkuu hili suala sio jepesi
Kwanza madam yao mengi utekelezaji wake ni mgumu,nyuma ya m23 kuna agenda nyingi tu ambazo hakuna mtu yupo tayari kuzitaja hadharani .hivyo hizi kete Kadri zinavyochangwa mm napata mashaka sana zinaweza ondoka na mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.