Recent content by Oxpower

  1. Oxpower

    Uhuru wa Bendera, utumwa wa mfumo

    Huo ndio ukweli Vyama vya siasa haviwezi kulikomboa hili Taifa
  2. Oxpower

    Larry Madowo, Minister wa habari mbaya za Afrika

    Kila mtu anafanya kazi anayoimudu,hivyo vivutio tabgazeni nyie
  3. Oxpower

    'Kufunguliwa' kwa Kanisa la Gwajima ni ushahidi tosha kuwa lao ni moja

    Kwani hiyo kesi imeendeshewa wapi na nani kashinda,na nani atamlipa fidia mwenzake?na watagawani nani na nani?tumia akili mkuu
  4. Oxpower

    Picha na Video: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu 29 Oktoba 2025

    Vituoni hamna watu kabisa
  5. Oxpower

    Mnaosema hamuamini uchawi, njooni niwathibitishie

    Kachukue nguo za ndani za POLEPOLE,MDUDE NA HECHE ,Ukiwarudisha tutakuamini vinginevyo ni mkwara tu,au mroge mafwele
  6. Oxpower

    GE2025 Tarehe 29 inawezekana wakakamatwa wanaokwenda kupiga kura badala ya waandamanaji

    Hiyo siku wakitoka hata watu wachache tu lengo linafikiwa kwa sababu zifuatazo 1.askari watatakiwa walimde vituo vya kura na kila kata iko na Askari kata mmoja na atatakiwa awepo kwenye kata yake kusimamia kituo kikubwa,na kila kijiji kinatakiwa kuna na Askari pia ila vitongoji mgambo wapo.sasa...
  7. Oxpower

    Familia yangu imeniambia haioni faida Yoyote ya mimi kutetea haki hasa Haki za watu wanafiki na wabinafsi

    Hili ni andiko lako katika maandiko mengi unayoandika kupinga maandamano kwakujifanya hutetei watu wasiojitetea. Hebu niambie ni nani ameonewa na hakujitetea ? Ukiona mtu anatoka front jua ameonewa yeye na kundi la watu wa aina yake.kutoka front ni courage na vile mtu ameumbwa . Ndio maana wewe...
  8. Oxpower

    PreGE2025 Kauli Mbiu za CCM Kuelekea Uchaguzi Zimedoda

    Shida ni kwamba wamechanganyikiwa,wanataka kuzima no reform no election ila sasa hawajui wandike nini
  9. Oxpower

    Wakenya watoa tahadhari kwa Watalii na Wageni kutembelea Tanzania kutokana vitendo vya Utekaji, Utesaji

    Tukiwanyima mahindi na sisi si tutakosa pesa.mie napata riziki yangu et niache kuwauzia kisa genz wa Kenya wanatusema vibaya?ebu waza upya mkuu hili suala sio jepesi
  10. Oxpower

    Haya ndio majibu na uchambuzi wangu mzito na wa kina kwa hotuba ya Askofu Dkt. Gwajima

    Miongoni mwa watu wasio na akili basi na wewe umo
  11. Oxpower

    Tetesi: Burundi, wanaosadikika kuwa wanyarwanda na wa Congo wenye asiri ya kinyarwanda, wakusanywa uwanjani

    Kwanza madam yao mengi utekelezaji wake ni mgumu,nyuma ya m23 kuna agenda nyingi tu ambazo hakuna mtu yupo tayari kuzitaja hadharani .hivyo hizi kete Kadri zinavyochangwa mm napata mashaka sana zinaweza ondoka na mtu
Back
Top Bottom