Una leseni ya kusafirisha mifugo?
Kama huna nenda bodi ya nyama ukate leseni ya kitaifa ya kusafirisha mifugo,dharama zake hazizidi laki mbili. Pia kumbuka kuwa na TIN namba,leseni ya mahali pa kufanyia biashara,leseni na halmshauri husika.
Gharama zake zake hazizidi laki 6.
Asante.
Ruwaichi sio Cardinal ni askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es Salaam.
Pengo bado ni Cardinal ameng'atuka kwenye nafasi ya uaskofu. Amebaki kuwa Askofu mkuu mstaafu na Cardinal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.