thegreat1510
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,408
- 3,633
"Allocation process" unajua maana yakesidhani kama ni kweli,
wanachokimaanisha ni kwamba uchambuzi wa taarifa zako umekamilika,kusubiri allocation process ni jambo jingine
"Allocation process" unajua maana yakesidhani kama ni kweli,
wanachokimaanisha ni kwamba uchambuzi wa taarifa zako umekamilika,kusubiri allocation process ni jambo jingine
Amiyn 🙏🙏🙏Mkopo mtapata
Boom laki sita 600k
Na bla bla zingine
So hakikisha mnasoma kwa bidii na kuwa na self growth.
Bado siku mbili dirisha lifungwe, kama vipi lipa tu hiyo 50K kuokoa mdaMimi mpaka leo control number inaleta mauza uza… nimeenda mpaka bodi ya mikopo bado hawajanikwamua
Control number inaleta amount ya 50000 badala ya 30000 na ukilipa 30000 fedha inarudi
Aisee!Haya.Salaam wakuu
Kwa wale walioomba mkopo mwaka huu kuna ambaye ameshapata ujumbe kwenye account yake tofauti na ujumbe huu hapa chini?
Your application is already in Verification process, please wait for the next stage.
Salaam wakuu
Kwa wale walioomba mkopo mwaka huu kuna ambaye ameshapata ujumbe kwenye account yake tofauti na ujumbe huu hapa chini?
Your application is already in Verification process, please wait for the next stage.
Ndyhivi fomu ukishakamilisha siku hizi hauprint kwa ajiri ya kutuma hard copy?
Utakuwa umeomba mkopo kwa level ya Postgraduate. Angalia vizuri.Mimi mpaka leo control number inaleta mauza uza… nimeenda mpaka bodi ya mikopo bado hawajanikwamua
Control number inaleta amount ya 50000 badala ya 30000 na ukilipa 30000 fedha inarudi
Application category ni Diploma.Hvi wadau hapo kwenye application category kwa mtu anayeomba mkopo wa diploma linakaa neno gani ukfungua?
Niliwasiliana na Board wakasema wanaomba mkopo ni kwa wale ambao tiyari wameshamaliza mwaka mmoja wa certificate wanaingia mwaka wa pili ambao ni diploma mojaApplication category ni Diploma.
Ila kuna sehemu sielewi mtu ndo kamaliza form 4 last year kaingia diploma mwaka huu ila kwenye education info wanataka registration no, avn, year of graduation ebu tusaidiane
Mkuu sasa watu tushalipa asee.Niliwasiliana na Board wakasema wanaomba mkopo ni kwa wale ambao tiyari wameshamaliza mwaka mmoja wa certificate wanaingia mwaka wa pili ambao ni diploma moja
Daah ngoja kesho niwacheki ila kila nikiwaza jinsi nitakavojieleza kwa alienipa ela kuwa tunaweza poteza ela bure nachokasina hakika sana maan hata nami nilipojibiwa hivyo sikuelewa vizur ebu jaribu nawe kuwasiliana nao
Kwani muda wa nyie kuomba mkopo si umeisha au wamewaongezeeni?Daah ngoja kesho niwacheki ila kila nikiwaza jinsi nitakavojieleza kwa alienipa ela kuwa tunaweza poteza ela bure nachoka
Tumia pcView attachment 2771257
habari jamani..naombeni mnisaidie..nimeapply nikafika mwsho lakini ikaniambia sinakamilisha preliminary info,nikafud kujaza hzo taarifa,kila nikijaza niruhusu kuemdelea na hatua nyingine inaliad sana,siku ya 3 sasa bado inaload tu..nkabadilisha browser lakn bado..nisaidien tafadhali