Recent content by output device

  1. output device

    Msaada, nahitaji chumba cha kupanga Dar es Salaam

    Ilala kota ndo ilala maeneo gani ndugu?
  2. output device

    Je, umefanikiwa kuziishi ndoto zako za utotoni kuhusu maisha?

    Mafaniko huanza kwenye ndoto, na ndoto huwa inaonesha mafanikio yako ila haikuoneshi njia ya mafanikio yako. Mfano unaweza ukawa na ndoto ya kuwa daktari ( ukaanza kuimagine tayari unatoa huduma kwa mgonjwa ) lakin haikuoneshi njia ipi upite ili uitimize hiyo ndoto so hapo ndo jitihada...
  3. output device

    Ananifanyia vituko ila nikitaka kumuacha anatishia kujiua

    Ningemalizia hii story bas ningepasuka kwa hasira.. aisee we jamaa huna akili
  4. output device

    Nahitaji mtu mwenye utaalam wa kutengeneza mobile smart phone application kwa Ios na Android

    Umeongea vizuri lakini unajikosoa mwenyewe, kama kila mtu ana-opinions na perspectives tofauti mbona umemkosoa sasa? Wacha yawe mawazo yake so usipanic bro
  5. output device

    Msaada simu inapata joto

    Moja ya dalili za corona hizo... itenganishe na wenzie mapema
  6. output device

    Vyuo vizuri kwa kozi ya IT au computer science

    Nipo IFM nachukua Computer Science mwaka wa mwisho, kwa ushauri wangu, usiende UDSM hakuna kitu pale wabovu sana bora ukasome siasa ndo wako vzur ila vyuo hiv vifuatavyo ni wako vizuri sana kwenye Practical na theory (Huwezi ikimbia theory kwenye Computer Science ila lazima practs ziwe nyingi...
  7. output device

    GPA chini ya 3.0,wanaweza wakapata chuo mwaka huu?

    Mi naona mnapeana moyo tu lakin mm kwa ninavyofahamu ni 3.0 kama minimum specs ya kuapply chuo level ya bachelor.. nina washkaji wengi sana wana 2.7, 2.8 na wengine 2.9 lakini wamesota dar nzima kutafuta vyuo ili waweze kuendelea lakin wap kila wanapogusa wanaambiwa ni 3.0 as a minimum...
  8. output device

    Msaada, nahitaji chumba cha kupanga Dar es Salaam

    Kigamboni, tabata kwa ujumla, sinza na maeneo mengine ambayo we unaona yako poa kwa kuishi vijana sio wazee
  9. output device

    Msaada, nahitaji chumba cha kupanga Dar es Salaam

    Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, nahitaji chumba cha kupanga kiwe kizuri chenye muonekano mzuri nje na ndani. Naweza kulipa 70k mpaka 80k per month so mwenye kufahamu na kujua naomba waje wanisaidie kukipata. Lakini pia hata wale wa kutoa mawazo...
Back
Top Bottom