Kweli nimeamini adui mkubwa wa watu ni umasikini na ujunga na ndivyo vitu tawala yoyote ya kibadhirifu uikumbatia ili kuendele kunyonya watu....haki sikutaka kuamini kwa kitendo kilicho tokea still kutakua na watu wanakutetea aise uko ulipo Mungu akusamehe kwa tamaa za kidunia tu....#Mungu...
Ontario mkuu always the best kwenye thread zako zilizo jaa umakini. .hongera big brother na mm am in kwa kweli na hisi sija chelewa kwenye hao watu 300.God bless you
Alafu tukiletewa takwimu za kwamba Africa ndio tunaongoza kuwa na IQ ndogo kutokana na matendo yetu watu wanabisha na kutokwa na misuli na kuita watu wana waabudu wazungu aya ona icho kitendo kilicho tokea kimeidhinishwa na mkuu au kiongozi mkubwa tu na yy kwa uwelewa wake akaona ni sawa tu ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.