Ameuwawa kwa sababu gan?
Kama Wauaji hawakukamatwa tutajuaje sababu?
Ameuwawa kwa sababu gan?
naomba uwe unani tag maana huwa nakufuatilia sana kwenye nyuzi zako,kila wakati huwa naingia kwenye hili forum ili kuona kama umetoa kitu kipya
Fresh kakaUweke online huu Uzi,autapitwa...
Mijitu nyie mnakera sasa una quote Uzi wote wa nnnaomba uwe unani tag maana huwa nakufuatilia sana kwenye nyuzi zako,kila wakati huwa naingia kwenye hili forum ili kuona kama umetoa kitu kipya
Yan nakutaman nikupe tusi moja wewe...!! Mnaboa kama nn yani..naomba uwe unani tag maana huwa nakufuatilia sana kwenye nyuzi zako,kila wakati huwa naingia kwenye hili forum ili kuona kama umetoa kitu kipya
samahani wakuu, nimempa mtoto alikuwa anapitia huu uzi kisha ame u quote mzima mzima. samahani kwa usumbufu[emoji122] [emoji122]
[emoji122] [emoji122]
Inatesa sana hii kituYaani ume quote thread nzima kwa ajili ya kupiga makofi tu?! [emoji12] [emoji12]
Hujatutendea haki watumiaji wa Simu!
Tangu ujiunge JF hujajua tu effect ya ku-quote story ndefu kama hii?naomba uwe unani tag maana huwa nakufuatilia sana kwenye nyuzi zako,kila wakati huwa naingia kwenye hili forum ili kuona kama umetoa kitu kipya
Basi futa hiyo post uliyoquotesamahani wakuu, nimempa mtoto alikuwa anapitia huu uzi kisha ame u quote mzima mzima. samahani kwa usumbufu
o.k mkuu, naomba nielekeze jinsi ya kufutaBasi futa hiyo post uliyoquote
[emoji122] [emoji122]
Amen! Shukrani sana mkuu... Tuko pamojaWewe Ndio Umefanya Niwe Napitia Jukwaa Hili, Mungu Abariki Kazi Za Mikono Yako The Bold.