Wapumbavu pekeee wanaweza kukubaliana naww ....yaani wachezaji wageni wapo kwa asilimia ngapi ktk ligi yetu!?...je wachezaji wetu kwanini hawaendi nje kucheza kwa wingi kupandisha viwango vyao ....ukijiuliza baadhi ya mawali kama hayo ndo utaelewa kuwa umeandika udwanzi .....wachezaji wajitume...
Wapumbavu kweli....wachezaji wageni wanaathri vip national timu ....kwanini wachezaji wazawa wasitoke nje kama kweli wanauwezo .....maisha ya sasa yanataka kujituma kwa bidii sio kubebwa ...wazawa hawajitumi ...Leo hii wachezaji wageni hawafiki hata asilimia 10 unasema tupunguze ......udwanzi tu...
Tena mkome kabisa kutoa hizo elimu zenu ...wajinga Sana nyinyi kisa mnalamba posho ndefu kutoka Kwa hao wahisani Wala hata hamjali ...mnapokea tu misaada bla kujali ... nadhani moja ya wajinga Sana ni nyinyi wapokea posho bla kujali nin ....
Tafta sehem ya junction...andaa mishkaki saafi mitamu....usiweke milangi langi ile ..choma na kuku hawa wakisasa pembeni...na ndizi mzuzu .... utaenjoy show ....na pia hutahitaji mtaji wote huo ...ikibidi tengeneza na Yale masoseji ya kienyeji .... wengine twaita mabomu yachome vizur...wateja...
Sasa hii ndo bdo mbichi kabisa ...meneo ya makambako mkoa wa njombe....unaambiwa kuna dingi mmoja
Alikuwa anafanya kazi hpo makambako na familia ilikuwa inaishi hpo .....lakin Mzee kuna eneo alinunua na kujenga nyumba kimya kimya bla kushirikisha familia.., though hiyo familia kwasasa haipo...
Jamaa kama kweli unataka kufanya biashara ya mazao Kwa Tz hii ww mnunuzi ndo unatangaza ofa yako....ya kununua ...by the way saiz kupata Kwa mkulima ni ngumu ..kwasab sio msimu wa kuvuna ...ila Kwa wafanyabiashara utapata ... sometimes madalali hawaweki Cha juu ila tu tunakubaliana nikikutaftia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.