Yes you are 100℅ collect mwanangu.Kwanza he already said that he is not a politician but chemistry man whom can count even fish of Indian Ocean and group them by their species.
Mmmmh ipi hiyo iliyo ozeana kama mapanga boyi ya Dar to mwanza,Kage(Chato)khaaa kweli mkunwa hukunwa kweli,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
Yani kitu njaa nikibaya sana kwenye maisha ya mwanadamu hapa duniani Clouds si MWAKA jana hapa waliingiliwa na watu wasio julikana:::wakawafunga midomo bila hata kuinuwa macho.Kweli mwenye shibe,hamjui mwenye NJAA,leo nimeamini kutoka Clouds 360!!!
Ubunge walichaguliwa na wanainchi wao,kamati nipale Bungeni sasa jaribu kuozanisha ndo utoe hoja yako(EG) ?Makonda ulimpigia kura kama Mukufuli au Sorex aka.
Tanzagiza pole yetu sote,tulio tumbukia kwenye hili janga la unga.Ila hapa episode ya1tayari nasubria episode ya pili nakwenderea.Musukuma kusema,tusidanganyane twanze namizizi matawi yanini.Twende kazi wa Tanzania na Sera yetu:HAPA KAZI TUUU:
Tanzagiza acha tubakie gizani,Mwana wa Mungu atakapo kuja:Twaja ona mwanagaza,Leo Mbowe kesho nani twaomba kujua,Vipi wadau hakuna mwingine mkwepa kodi Freeman hapa Tanzagiza:Twende tukakusanyie kodi kama sheria isemavyo nasio kuumizana.Halmashauri leo ndo imeamka kwa hapo nyumba haikuwepo...
East Africa:tupo namba ngapi naomba kujua,anae fwata baada ya UGANDA nani?Duniani nimesikia tunashika No 116/niwapi tulipo punguza,Je mahojiano ya Dr Ulomi wa Dodoma umeasikia:you can comment now,while it is too early.
Dah Azarel uminikosha xana,mm mwenyewe nilijitoa mapema,kuona vifungu vinaletwa kwenye meza wakati wa mlo wa usiku.Naomba Muumba awaone wote:wanasheria Wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.