jamani mtaani mpaka mtu unatamani uuze mwili.
Usitamani huo mchezo, ni machukizo mbele za Mungu. Muombe Mungu maana yeye ndiye mtoaji wa ajira, atakufanyia wepesi wakati ukufika. usikate tamaa, usitende dhambi, Jipe moyo hayo ni mapito. MUNGU anataka atawajaribu kujua km mnampenda kweli.