Kapwila kwa muda huu wale woote Team Lowasa,wangekuwa wanakojolea mikojo watu barabarani,wangegawana rasilimali zote,vitalu vya uwindaji na mbuga zake,mitambo na vitalu vya gesi asilia,Tanesco ingetangazwa kufilisika,Bandari zote wangepewa watu TICS kwa mikataba mirefu zaidi,TRL ingeuzwa kwa bei...