Recent content by Oscar Pius Blog

  1. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Oktoba na maajabu yake na watu mashuhuri

    ** Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ni miongoni mwa Viongozi Mashuhuri waliozaliwa mwezi wa Oktoba, ambapo alizaliwa tarehe 29.10.1959, Rais wa Rwanda Paul Kagame alizaliwa tarehe 23.10.1957, Rais wa Kenya Uhuru M. Kenyatta naye alizaliwa tarehe 26.10.1961. Rais wa Liberia Ellen...
  2. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Aliyempigisha ‘deki’ Mwalimu aigomea CWT

    Itanishangaza kama maoni yangu niliyoyatoa ya kutengua uteuzi Wa Mkurugenzi Wa Halmashauri ya Misungwi Bwana Eliud Yatapuuzwa.CWT hongereni kwa hatua ya awali! Haiwezekani kuongozwa na kiongozi kama huyu kana kwamba kazi hiyo hamkuisomea,ni kheri kufukuzwa kazi kuliko kurudishwa utumwani. Ni...
  3. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Kipigo cha Mwanafunzi, Watanzania acheni unafiki

    Hivi hili la walimu ni kubwa kuliko matukio mengine nchini? Ukitaka kujua kunya anye kuku akinya bata kaharisha basi chukua tukio hili linalovuma sasa nchini kuhusu walimu mafunzoni waliomuadhibu mwanafunzi huko mbeya. Kila mtu anasema lake kila raia anasema lake kisa kuna jina mwalimu, nauona...
  4. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Bado Nawaza kwa Sauti: Sakala la Mwanafunzi wa Mbeya day sec school

    tokea litokee tukio la kupigwa kinyama mwanafunzi wa MBEYA day sec ndio umekua mjadala MKUBWA kupitia vyombo vya HABARI na Mitandao ya kijamii,wengi wao wamekosoa sana Na kuwaita walimu majina ya kila Aina,Wengine hata Viongozi serikalini wameingilia sakata ili kujitengenezea umaarufu,nataka...
  5. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Jaji Mutungi afukuzwe kazi na ashitakiwe

    Sawaaaaa MKUU,Ntakua nafanya fupi Ila ikiwa inaeleweka zaidi
  6. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Jaji Mutungi afukuzwe kazi na ashitakiwe

    Na. Abdallah Yusuph Juma, yabduljuma72@yahoo.com Inashangaza na kusikitisha sana. Juzi Alhamisi tarehe 06 Oktoba 2016 Mwenyekiti wa CUF kwa tiketi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof. Lipumba aliripoti benki ya NMB katika tawi la Ilala na kuwasilisha nyaraka mbalimbali ili afunguliwe akaunti ya...
  7. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Chriss Brown uko tayari kufanya kazi na Ali Kiba

    Uongozi wa muziki nchini marekani unao muongoza msanii wa R&B Chris Brown umetoa taarifa kwa uongozi wa muziki Tanzania unao muongoza msanii kutoka Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini ya uongozi wa Kampuni za SAMSUNG. Kwa taarifa zilizopo katika mtandao wa VIP Beats nchini marekani...
  8. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Septemba 9: Kifo cha dikteta Samuel Doe wa Liberia

    *************************** Samuel Kanyon Doe alizaliwa May 6, 1951 jijini Tuzon, nchini Liberia. Alfajiri ya Aprili 12, 1980, kikundi kidogo cha wanajeshi 17 kilijipenyeza ndani ya makazi ya Rais jijini Monrovia. Ikulu walimkuta Rais William Tolbert bado amelala... Wakamuua... Aliyeongoza...
  9. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Alikiba,AbduKiba na Barakatheprince_ Watua Mombasa Kenya,Kuweka Historia Mpya

    Katika hali isiyo ya Kawaida na Surprise kwa Mafansi wake Msanii Mkongwe na Mfalme wa Bongofleva ALIKIBA AU KINGKIBA,Yaaani Yule Mwana dar es salaam @officialalikiba ametua Nchini Kenya bila taarifa yeyote ile Kuhusu analokwenda kufanya huko ila Kupitia mitandao mbalimbali Alikiba amepostiwa...
  10. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

    *Hii inatoa picha sio nzuri* Tokea lile tukio la uvamizi wa bank ya crdb huko mbade na nchi yetu kupoteza askari kadhaa katika tukio hilo,nimekuwa nikiona katika mitandao ya kijamii na hata mitaani watanzania wenye akili zilizopoteza utu na ubinadamu wakipongeza tukio hilo lililopoteza binadamu...
  11. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania CHADEMA watangaza kuanza operesheni ''Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania" (UKUTA)

    SERIKALI KUPITIA POLISI KUZUIA WANAKIUKA SHERIA NA KATIBA. . Kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 3 (1) inasema kuwa “Jamhuri ya Muungano ni Nchi ya Kidemokrasia na ya kijamaa! isiyokuwa na dini,yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa. . Aidha , kwa mujibu wa Sheria namba 5 ya Vyama vya...
  12. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Wasomi wazidi kuikosoa Serikali

    Na Profesa Joseph Mbele Nimeona nianzishe mjadala wa suala linalovuma wakati huu nchini Tanzania, ambalo ni: Je, Rais Magufuli ni dikteta uchwara? Tundu Lissu, mwanasheria wa CHADEMA ndiye mwanzilishi wa dhana hii ya kwamba Rais Magufuli ni dikteta uchwara. Kwa kuanzia, ninapenda kuwashutumu...
  13. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji kuelewa nadharia ya Estado Novo ili kumuelewa Rais Magufuli

    Napenda kutumia fursa hii kwa kurejelea mazuri ya kiutawala kutoka kwa mmoja wa viongozi jasiri duniani. Ujasiri ninaozungumzia ni ule wa kubadili akili za viongozi wenzake pamoja na akili za wananchi wake. Mimi namrejelea António de Oliveira Salazar, Waziri Mkuu wa 100 wa Ureno. Huyu...
  14. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania *Nyerere na demokrasia*

    `Kuna mambo mawili ya lazima katika demokrasi,ukiyakosa hayo demokrasia hakuna. La kwanza: Ni kwamba kila mtu lazima aweze kusema kwa uhuru kabisa na maneno ya kila mtu lazima yasikilizwe. 'hata kama maneno ya mtu huyo hayapendwi kiasi gani,au walio wengi wanamdhania amepotoka kiasi gani si...
  15. Oscar Pius Blog

    JamiiForums Tanzania Singida: Tundu Lissu(MB) akamatwa na Jeshi la Polisi, Kusafirishwa kupelekwa Dar haraka!

    KUKAMATWA KWA TUNDU LISSU LEO. Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kumaliza mkutano huko Singida --------- Ujumbe alioandika Tundu Lissu-----huu hapa - Wakubwa sana salaam. Ninawaandikieni maneno haya nikiwa chini ya ulinzi wa polisi Singida. Nimemaliza kuhutubia mkutano wa hadhara...
Back
Top Bottom