Mkuu kwenye uchumi kuna Kitu kinaitwa Marketing Mix, Hivyo mtu unapotaka kuwekeza au kufanya biashara ni vyema uzingatie Marketing Mix .
Four major controllable factors of any marketing mix (#4P's): product, price, place (distribution), and promotion.
Kwa hiyo unapoenda kufungua supermarket...
Nakumbuka wakati mgogoro ulivyozidi baina ya mataifa hayo mawili na kuanza kushambulia wavuvi wanaotoka Tanzania ,serikali ya Tanzania ilitoa tamko kwamba Kenya na Uganda wakaendelea kuzozana juu ya kisiwa hicho na kuperekea RAIA wake kupoteza maisha, watakilipua na kukiteketeza hicho kisiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.