Juma Ahmed Baragaza, Muhsin Mambo, Fred 'Fredwaa' Fidelis, Zuberi Msabaha (mzee wa bolingo time), Prince Baina Kamukulu na sasa ndugu yetu Dee7.
Nadhani ni mipango ya Mwenyezi Mungu, na sio msongo wa mawazo kama unavyosema.
Dee7 (jina lake maarufu) aliekuwa mtangazaji wa radio Kiss FM ya jijini Mwanza amefariki dunia hapo jana tarehe 23.09.2023.
Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kipindi cha African Beats pale Kiss FM mtakuwa mnaikumbuka vyema sauti yenye mamlaka ya huyu ndugu yetu na bila kusahau mchango wake mkubwa...
Nyie mnashangaa dogo kuzaa akiwa na 12 years. Nina mdogo wangu hapa ana miaka 9 ameshampa girlfriend wake ujauzito. Leo nilikuwa kumsindikiza kucheki ultrasound. Ni mimba ya mapacha.
Dih ndoto za kijana mwenzetu zimekatika mapema sana. Ila jamaa alikuwa anabehave strangely recently nadhani kuna kitu hakikuwa sawa na kilikuwa kinamtatiza kiakili na kiafya pia.
Binafsi mi ni mpenzi sana wa horror movies. Ila kwa mwaka 2018 horror movies bora kwangu ni 'The Hereditary' pamoja na 'The Nun'. Ila The Hereditary imekaa kijanja zaidi na inatisha kishenz.
Hadi hapo Arsenal itakapokuwa na uwezo wa kucontrol tempo za big games na kupata points tatu i am still not very optimistic with Unai Emery's reign at the Emirates. Game tatu so far against the big boys msimu huu: Tukachezea kwa Man City palepale Emirates, Tukachezea kwa Chelsea away, na juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.