Mwalimu mkuu abaka mjukuu, baba abaka mtoto

Mwalimu mkuu abaka mjukuu, baba abaka mtoto

Inawezekana kabisa. Huwa hatuyasikii tu.
FaizaFoxy
Upo! Hoja yako hapo ni ipi?
Mwenye miaka 12 naye alibakwa akapata mtoto?
Halafu una unajumuishavkuwa huko yaani Mbeya wanafyatuana wakiwa na umri mdogo
Why do you generalize? Hii ni makosa binafsi hayawezi kuwa ya jumla jumla
Hatuwezi sema kama Bukoba kuna mwadilifu Kaishozi basi mkoa mzima ni waadili. Si kweli. This is indivifual csse
 
Kwani FaizaFoxy ameongea kipi kinacho mstahili mitusi? Hajaongelea excuse, yeye ameongelea possibility inayopelekea watoto kuweza kujihusisha na mambo yale katika umri mdogo.
Kaongelea kuwa inawezekana kweli ikafanyika sababu ya baridi
Sababu iliyoihusisha na uwezekano wa kutenda kosa ndiyo inayomfanya aonekane punguani
Tangu lini baridi inahusisha ubakaji tena katika umri tajwa?
 
FaizaFoxy
Upo! Hoja yako hapo ni ipi?
Mwenye miaka 12 naye alibakwa akapata mtoto?
Halafu una unajumuishavkuwa huko yaani Mbeya wanafyatuana wakiwa na umri mdogo
Why do you generalize? Hii ni makosa binafsi hayawezi kuwa ya jumla jumla
Hatuwezi sema kama Bukoba kuna mwadilifu Kaishozi basi mkoa mzima ni waadili. Si kweli. This is indivifual csse
Huko hata mambo ya kupotea watoto na viungo vya albino yalishamiri. Unachokikataa ni nini, kama unafahamu na kwengine weka wazi.
 
Nyie mnashangaa dogo kuzaa akiwa na 12 years. Nina mdogo wangu hapa ana miaka 9 ameshampa girlfriend wake ujauzito. Leo nilikuwa kumsindikiza kucheki ultrasound. Ni mimba ya mapacha.
 
kastarehe ka dakika 3 na sekunde 47 kamemkosesha babu kikokotoo chake inawezekana pia na ka umri kake kaliko salia anakakamalizia kwa nguo za rangi ya machungwa.
Ila we miss zomboko kila siku habari unazotuletea humu ni za majanga tu, hivi kweli unakosa hata habari nzuri za wakulima wa korosho kuwanywisha soda mbuzi wao jamani?

Maendeleo hayana chama
Hah hah hah
 
Back
Top Bottom