Your Story resembles mtu fulani anaitwa John siku hizi yuko Mwanza.. The same girlfriends name Mary, alipata mtu Airport na walikuwa wanakaa M'nyamala...
Ndugu hayo yote unayoyasema ni 100% correct but still ni matokeo yaliyoletwa na MZUNGU aliyefuata Mlima ndo nami nasema mumshukuru... Sasa whether mko na akili ya kuyaendeleza waliyoyaacha au hamkuyaendeleza that was none of my concern, sawa? 😁😁😁
Kwa huu uelewa basi Mama Ndelichako yuko na kazi si kitoto.
Naona umeyashambulia maneno niliyoyaandika kwa mbwembwe bila kuelewa sentensi niliyoiandika... 😂😂😂😂
Yaani ukitaka kujua Tanzania nako kuna ukabila nenda Muhimbili NH, kuna tifu la Wahaya, Wasukuma na Wachaga.. Yaani kila idara iko populated na kabila mojawapo fulani... Nakumbuka kuna jamaa wakati tuko tunafanya baadhi ya vitu fulani vya kimasomo huko wodini aliulizwa kuwa kaja kufanya nini...
Si wanasema hapo ameanguka kiimani??? 😁😁 Itakuwa bado kawatilia ngumu wale jamaa zetu wanaenda na kiki maana wangemwita kwenye mabanda yao ya biashara.😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.