Samahani kwenda nje ya mada.hua nasikia waislam wanaupinga utatu mtakatifu ila Kwa andiko hili ulilolileta LA koran " hakika tumekuumbeni".Hapo Allah anasema tumekuumbeni kaumba na nani?utatu mtakatifu ni halisia au sio??mniwie radhi kua nje ya mada
Kua kama yanga na tumsemo twaoo...daima mbele nyuma mwiko.msemo huu wa yanga na kwenu wapenda nyumaaa.yanga ishatuambia mwikoo mbele daimaaaaa.mkuu we we geuka uwe mshabiki wa yanga..yani uwe muyanga huyo msichana utamuona daima mbele nyuma mwiko
Simkubalii huyu ni mnafiki sanaaaa.alimtafuna kondoo mzurii situlimuonaa???? Afu analiita jina LA Bwana wa majeshi wa Israel.wakati wa hoja ya makamu wa raisi alipewa nafasi na spika kakasimama kakanukuu maneno ya Pierre Likud et konki faya juu sijui mawingini....nyeeef nyeef nyeef mnafiki...
Huyu mkenya comedian akiigilizia wimbo wako utanuna anakupoteza.drake Mwenyewe alinuna ule wimbo wake wa gods plan mpaka akamnunia huyu mkenya.ila kiukweli Jamaa in balaa
Kila naemuona rika langu ananiita bro...mi Mwenyewe redio nayoisikiliza nimekua redio free Africa ,sipendi miziki ya vijana yani mkianzisha Mada za nyimbo za vijana wa bongo siwajuii yani nakua sitambui chochote.yani bongo najua alikiba,diamond,Huyo harmonizer (kwa sauti ya mwenda zake)
Dah we Jamaa sio wa pole poke kiukweli una maarifa saaaaaaana.nimesima Uganda primary na tumesoma ndio historia ya MTU wa kwanza kuishi Uganda aliitwa.nakumbuka tulikua tunajibu Kintu was the first man to live in Uganda.nimekua mpenzi wa muvie za kigiriki Sana na hayo majina kama...
We unaona ni mchai chai tu??je juhudi zangu za zaidi ya miaka mitatu kupambana mchai mchai ukue huoni??miaka 3 na zaidi mchai mchai haukui???kwahio aendelee kunionea tuuu??
Wakuu nimepata dawa ya huyu mama mshenzi anaekata mchai chai wangu.nimemuendekeza sana amenionea sanaaa.amerudia kukata mchai chai wangu bana.nilichofanya niliamka SAA Tisa usiku nkaenda kwenye mlango wake nkakuta vi yebo yebo vya watoto wake na Ndala zake.nilichukua ule wembe wa theatre...
Kwendeni zenu na korona yenu.mwenda zake Ali tackle vizuri issue ya korona.korona ni propaganda tu.Siku huko kwenu ika kwetu ninapoishi sioni watu wakifa hovyooo maisha yanaendelea kama kawa.korona korona kila Siku wimbo huu tu.nyie na wazungu wenu kwendeni huko.korona kwenu na wazungu wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.