Hapa nkweli kabisa. Lazima alipe fedha za usajili kwanza. Akishajisajili chuoni ndio anaweza kupata huo mkopo. Na kama atakua amepata 100% atarudishiwa hizo fedha endapo akidai.
Wapendwa wanajf.
Habari za mda huu. Nnaomba kwa yeyote anaefahamu anijuze.
Mimi natarajia kujiunga na chuo mwaka huu na nmepata mkopo kutoka bodi ya mkopo, kinachonisumbua ni hiki. (1)hizo fedha ntazipata kwa njia gani na wakati hawana accaunt no. yangu? (2)chuo cha private ntasajiliwa bila fedha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.