mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Wapendwa nimepigiwa simu kutoka mkoani na jirani yangu,kijana wake kapata nafasi ya kujiunga Mzumbe University,na pia amebahatika kupata mkopo lakini sasa amemwambia mzazi wake kuwa inatakiwa alipe 700,000 kutoka mfukoni mwake kama registration fee kabla ya Sept 30,sasa nilichoulizwa na huyo mzazi mwenzangu ni kuwa si hela ya mkopo ndio inalipia kila kitu?nami nimeshindwa kumpa jibu kwa kuwa sifahamu,naomba mwenye kufahamu anijulishe ,tumeangalia kwenye hizo form za kujiunga hatujaona sehemu iliyosema inatkiwa hiyo 700,000. mwenye kujua tafadhali atuhabarishe .Asente