kazi pekee ya kumsaidia mwanamke ni kumbebea mtoto ili akapike tule..
kumpasulia kuni..
kutandika kitanda wakati akiwa bafuni anaoga, baada ya hapa tunacheza mechi..
sina zaidi
mi mwanamke yeyote ambaye anaweza kufokeana na mumewe huwa namuona hajui sifa za mke bora
mwanamke ambae anataka eye to eye war, ni tatizo
TANGA HAKUNA FEMINISM, WALIWEZAJE?
NDOA IKIVUNJIKA TANGA UJUE NI KIFO KIMEINGILIA KATI
Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume..
Yaani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi?
Haiwezekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.