Recent content by Operand

  1. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    kazi pekee ya kumsaidia mwanamke ni kumbebea mtoto ili akapike tule.. kumpasulia kuni.. kutandika kitanda wakati akiwa bafuni anaoga, baada ya hapa tunacheza mechi.. sina zaidi
  2. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    safi sana kaka kila mtu na sheria zake hapa mjini. Piga sana deki kwanza vifaa vya deki ni vya kisasa sana..
  3. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    basi njoo nikufue na kukudeki mpenzi wangu joa.. uje slow slow, usifoke!!
  4. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    mi mwanamke yeyote ambaye anaweza kufokeana na mumewe huwa namuona hajui sifa za mke bora mwanamke ambae anataka eye to eye war, ni tatizo TANGA HAKUNA FEMINISM, WALIWEZAJE? NDOA IKIVUNJIKA TANGA UJUE NI KIFO KIMEINGILIA KATI
  5. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    utauweza ukewenza na Sweet16 ?? HAMTANIUA NA MAJUKUMU NYIE? NIFUE NIDEKI NIWAPIKIE? HUKU MKIANGALIA KARA SEVDA
  6. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    Joanah na Sweet16 MMOJA WENU NIMEMPENDA NA NITAMUOA NGOJA NIENDELEE KUFOKA NIONE UVUMILIVU WENU
  7. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume naomba mnisaidie hapa

    njoo inbox maya
  8. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

    Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume.. Yaani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi? Haiwezekani
  9. Operand

    JamiiForums Tanzania Nahitaji shamba la kununua

    shamba lipo kibaha. nipe namba zako nikuunganishe na mwenyewe myajenge
  10. Operand

    JamiiForums Tanzania Ajira Kuwait

    Hio 190KD ni sawa na dola 58. so mshahara haufiko hata laki na nusu
  11. Operand

    JamiiForums Tanzania WanaJamiiForums nakuja kwenu kukiri maisha ni magumu, naomba mnisaidie nipate kazi

    Tumeshasahau mada sasa tuna chat.. mkuu pole sana
  12. Operand

    JamiiForums Tanzania Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    usiweke vitu visivyohusika ndo mana unatuchanganya.
  13. Operand

    JamiiForums Tanzania Je, huyu mlinzi wa Tundu Lissu anauwezo wa kumlinda dhidi ya jaribio lolote endapo litatokea?

    sasa mjomba unataka lissu alindwe na jini? hata alindwe vp one day atakufa tu na hakuna ajuae atakavyokufa. Dont judge too much
  14. Operand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia ya kutopokea namba ngeni/namba mpya

    kumbe ukijiajiri nndio hupokei simu za kikazi?
Back
Top Bottom