WanaJamiiForums nakuja kwenu kukiri maisha ni magumu, naomba mnisaidie nipate kazi

Uko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
Shule gani iyo nami nimpeleke mwanangu akajifunze elimu nyingine zaidi ya kukariri mtaala wa serikali
 
Jaribu kwenda jijini Dodoma kuna fursa nyingi sana za Ujenzi na biashara nyingine pia
 
daa shida unataka kazi ya ajira, ingekuwa biashara kwa mtaji wa 50000, ungetosha mjini kupata ridhiki.
 
Don't expect too much too soon brother

Ukiona umechoka na una uwezo wa kupumzika, fanya hivyo ili baadae uje uendelee na hustles

Amini I can feel your state of mind mzee,

ila amini pia mchawi ni muda tu, ukifika umefika maana wanasema haijalishi usiku wako ni mrefu kiasi gani ila asubuhi ijapo KUTAPAMBAZUKA.
 
Don't expect too much too soon brother

Ukiona umechoka na una uwezo wa kupumzika, fanya hivyo ili baadae uje uendelee na hustles

Amini I can feel your state of mind mzee,

ila amini pia mchawi ni muda tu, ukifika umefika maana wanasema haijalishi usiku wako ni mrefu kiasi gani ila asubuhi ijapo KUTAPAMBAZUKA.
Eyce una umri gani??
Sorry for asking you this question

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi. Nimepeleka mtoto shule fulani. Wanafunzi wote wanatakiwa waondoke angalau na ufundi stadi wa aina fulani. Ukizembea unakamatwa hata ukipata A zote masomo ya darasani. Huyu wa kwangu kaamua kujifunza kuwa dentist assistant na tayari anakwenda kufanya interns huko kwenye maofisi ya madentist na wengine wanamlipa. Jirani yangu hapa mtoto wake amejifunza ufundi magari. Wamefundishwa oil change, brake system na matatizo mengine ya juu juu. Ameongezea na welding. Wengine wanajifunza ufundi umeme. Vyote mkazo ni practicals. Nimependa sana utaratibu huu. Wakati wa kukaririshana nadharia peke yake umepitwa na wakati...
Shule gani mkuu
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom