Nimefanya utafiti mdogo kwa baadhi ya nchi nilizotembelea na nikalinganisha na nchi yangu pendwa Tanzania. Baada ya utafiti nimegundua Pesa ya Tanzania inatumika sana kwenye Imani za kishrikina.
Najiuliza je ni kweli Tz kuna ushrikina hasa huu wa chuma ulete, maana noti nyingi za Tanzania...
Naomba kuuliza kwa Wadau.
Hivi kuna haja ya mtu anayekupa lift (Msaada wa usafiri kwenye gari) kila siku kuchangia mafuta kwenye gari lake, ..!?
Au unatakiwa uuchune uwe Shock absorber tu kwenye gari la watu..!!
Wadau habari,
Mimi ni kijana wa Makamo nina maisha mazuri tu na sijaoa. Sasa kuna Dada mmoja tulikaa naye mtaani(familia zetu) baada ya muda mrefu tumeonana nae nae baada ya mimi kuhamishiwa kikazi Mwanza.
Uyo dada kaolewa na ana muda mrefu kwenye ndoa lakini hajabahatika kupata mtoto... kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.