Recent content by Ontama

  1. Ontama

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Connection ya biashara ya maharage anayejuwa soko zuri lilipo anicheki Aina zote za maharage ila sanasna Yale yanjano yanapatika kwa wingi
  2. Ontama

    JamiiForums Tanzania Athari za Corona: KKKT Dayosisi ya Karagwe yasitisha ibada zote kwa muda kuanzia Aprili 26, 2020

    Na Mimi nitafunga kesho kanisa langu ila kabra sijafunga tukubaliane sadaka zote naile michango yetu pendwa mtakuwa mnanitumia kwa simu
  3. Ontama

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

    Dah! Nilikuwa na safali ya kwenda Dar ila kwa jinsi kirusi kinavyo jimwambafaih huko nimegaili🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
  4. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mpya: Askari polisi wa kituo cha Mbalizi Mbeya wafanya Ibada kituoni kuomba Mungu atuepushie janga la Corona

    Tunako elekea huku Sasa mpaka inakera yaan, dunia inatushangaa kwa haya maigizo tunayo yafanya
  5. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kasesela awasihi Wananchi kukaa mbali na watu wanaotoka Dar. Mwenyewe afafanua

    Binafs namuunga mkono DC watu was dar wengiwao ndiowalio hatarini zaidi ya kupata maambukizi ya covd 19 na sisi wote nimashahdi wengi wa waathirika was covd ni wakazi wa dar Hvyo siitu kuwanao makini pindi wanapoingia kwenye mikoa mingine la inapaswa wawekwe karantin vinginevyo...
  6. Ontama

    JamiiForums Tanzania Zanzibar yatangaza wagonjwa wapya 23 wa COVID-19. Idadi ya maambukizi yafikia 58 na 170 kwa Tanzania ( 19.04.2020 )

    Wewe ebu futa kauli yako hiyo, Nani kakwabia sisi tunalindwa na mungu kuliko wazungu!? Haya siku ya kuàmkia Leo Italia wamepona watu zaidi 2500 hao niwale wasiolindwa na mungu, Sasa wewe niambia hao wanaolindwa na mungu huko kwenu wamepona wangapi?😷😷😷😷😷😷
  7. Ontama

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Rais kusali siku tatu imetafsiliwa kinyume,Makanisa yanafurika na kuongeza maambukizi. Serikali ichukue hatua

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, . Wanna siasa wanapoamuwa kujivika koti la waana taaluma mtokeo yake itakuwa Ni msiba wanchi nzima
  8. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mauzauza usingizini

    Ukihama na matatizo yakaendelea basi inakupasa utumie Tiba za jadi ili ujisafishe hayo mamikosi, au usione hatari kurudi nyumbani ili wazee wakuone ikibidi unatumia nafasi hiyo kupalilia makabuli ya Babu zako
  9. Ontama

    JamiiForums Tanzania Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

    Jambo jema kumludia muumba wetu kwenye mtatizo Kama haya, maandko yanasema bisheni hodi nanyi mtafunguliwa
  10. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mauzauza usingizini

    Mkuu pole Sana, hayo mazingira unayoishi siyo Rafiki Sana kwako,inawezekana tatizo likawa ndani ya nyumba unayoishi au mazingira yaliyokuzunguka, suluhisho Kama umepanga kwenye hiyo nyumba basi hama lakini Kama Ni nyumba yako basi unakila sababu ya kuzindika hiyo nyumba.
  11. Ontama

    JamiiForums Tanzania Imeshika kasi: Tuendelee Ushujaa wa "Ka-Corona, tusitishane, tuchape kazi" tukiteketea; au tubadili msimamo na tusitisishe Mikusanyiko tuokoke?

    Tukimaliza maombi ya siku tatu yakuliombea taifa ndipo Sasa tuludi hapa tufanye tathimini je katakuwa kamekwisha haka kaugojwa
  12. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba ashauri Serikali iache kutangaza wagonjwa wapya wa Corona, itangaze wanaopona na wanaokufa

    Sina hakika Kama huyu jamaa ndie alikuwa wazili wa Mambo ya ndani🤒🤒🤒🤒🤒
  13. Ontama

    JamiiForums Tanzania Mamlaka za Tanzania haziko makini kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda Mwanza na hakuwekwa karantini?

    Kwa mwenendo huu binafsi mapatwa na mashaka Kama kweli serkali wapo kasini au nawao wamejiweka karantini Inatiashaka Sana ikiwa watu wanaingia nchini na wanaanza mizunguko yao bila hata kuwekewa vizuiz japo hata kwa wiki 1tu,ili serikali ijilizishe Kama watu hawa hawana maambukizi, Hapa...
Back
Top Bottom