The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,872
barafu ahsante kwa somo lililojaa tahadhari mkuu, najua hata kwenye hili bandiko watu wataleta siasa kama ambavyo kauli ya mheshimiwa inatumika ndivyo sivyo na hakuna wa kurekebisha.
Pia ikiwezekana wafanyakazi wa hospitali zote wapewe au kuwezeshwa vifaa vya kujikinga na maambukizi pale wanapohudumia wagonjwa wa aina zote hata kama sio kituo cha kukabiliana na Covid 19. Kama tunavyojua dalili hazionekani kusnzia siku 14 na wakati huo mgonjwa anaambukiza wengine. Inamaana endapo huyo mgonjwa asiye na dalili za moja kwa moja akienda kituo au hospitali yeyote anahatarisha watakaomhudumia na wagonjwa wa maradhi mengine.
Pia sijui watatumia njia gani kuoulizia vyombo vya usafiri hasa mabasi na boat kabla ya abiria kupanda na abiria kutumia vitakasa mikono wakati wa kuingia kwenye vyombo.
Tuendelee kuchukua tahadhari.
Pia ikiwezekana wafanyakazi wa hospitali zote wapewe au kuwezeshwa vifaa vya kujikinga na maambukizi pale wanapohudumia wagonjwa wa aina zote hata kama sio kituo cha kukabiliana na Covid 19. Kama tunavyojua dalili hazionekani kusnzia siku 14 na wakati huo mgonjwa anaambukiza wengine. Inamaana endapo huyo mgonjwa asiye na dalili za moja kwa moja akienda kituo au hospitali yeyote anahatarisha watakaomhudumia na wagonjwa wa maradhi mengine.
Pia sijui watatumia njia gani kuoulizia vyombo vya usafiri hasa mabasi na boat kabla ya abiria kupanda na abiria kutumia vitakasa mikono wakati wa kuingia kwenye vyombo.
Tuendelee kuchukua tahadhari.