Nampongeza mwl kwakuacha uwoga. Mwigulu tulimshauri siku nyingi kuwa anavyofanya sio sahihi, chakushangaza wiki hiyo hoyo akaibuka na yale yale tuliyomkaza. Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.Mwigulu anafikiri watanzania ni wajinga. Kijana jirekebishe.
wewe mwenyewe ndiyo mjinga; ukombozi wa comoro haukutumia hata risasi moja kwa jeshi la tanzania, hivyo sijui ni experience gani tumeipata. somalia majeshi yetu yameshiriki lakini tumeshindwa kuikomboa na mwisho hakuna vita waliyoshiriki wanajeshi wa tanzania sudan zaidi ya kulinda amani na...
asante kwa maelezo mazuri. Picha ya video inaonyesha kuwa mwakilishi wa makamu mkuu wa chuo alikuwepo wakati lema anahutubia. Pili, mbunge naye ni kiongozi akiwa katika eneo lake, anapohitaji kuwaona watu wake hahitaji kibali toka kwa mkuu wa mkoa, au kwa vile ni wa chadema? Tatu, watanzania...
chama chako we na nani? Hii ndiyo tabia ya watu wahuni, wenye mtazamo na fikra finyu sana. Nampongeza sana ndugu yangu Bashe ameonyesha mawazo tofauti na ukomavu wa kisiasa pia. Watanzania tulio wengi tuna tabia mmoja kuwa unapokosoa inaonekana kama umetumwa na adui (mfano chadema, ccm...
Hivi wewe ni fisadi gani? Ni nape au ni mwigu mwenyewe? Mbona nchi mnakula wenyewe? Wenzenu tuna njaa tunashindia mlo mmoja tu, mtuonee huruma jamani mafisadi!
we jinga unamaanisha wanaoshabikia CHADEMA ni walevi wasioweza hata kupiga kura? Hata wakiwa walevi bado ni watanzania tu! Unamaanisha kuwa Watanzania hawanywi pombe mikutano ya CHADEMA isipofaanyika? Pia ni heri kuwa na makengeza ya mach kuliko kuwa na kagengeza ya akili, maana makengeza ya...
Thatha: Mpuuzi mkubwa wewe, toka lini migomo TZ huratibiwa na CDM? au ni kauli ya mfa maji haachi kutapatapa? Migomo ya walimu huratibiwa ya CWT na sio vinginevyo! Acheni uchochezi na hisia za kipumbavu. Ni kawaida sasa kwa serikali na wanaonufaika udhalimu wa serikali hii kutafuta mchawi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.